Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunapatikana Dar, Moshi, Arusha na Dodoma pia delivery popote ulipo kwa mawasiliano tupigie kupitia 0762261646 Au tuffollow instagram @mirry_cake_addict Ahsante
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habar hapo juu .ninapokea order za cake za jumla na rejareja kwa bei nafuu.ukitaka cup cake au cake za shughul mbalimbali au za biashara naomba tuwasiliane kwa number hii...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
tunakuletea sabwoofer zenye uwezo mkubwa na sifa za kisasa zenye RADIO STATION, BLUETOOTH, USB PORT, MMC PORT Warrant miaka 2. Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Kama unalo nipe contacts. Dar tu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Solar pannel watt 120,betri kavu N100 aina ya Rita,inveta watt 300 pamoja na feni ya solar vinauzwa! Bei vyote sh.400,000/= Location: Gongo la mboto Contacts:0714620472 pia unaweza kuja PM
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Lotion kutoka Congo, anaetaka aniagize namletea, lakini visiwe vingi Sana.
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Ndugu mpendwa, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site, SIFA ZA...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Wanajamvi bila shaka mpo vizuri, naomba ushauri wenu, natafuta printer ambayo itanisaidia ktk kuprint, kutoa copy, scan documents na kusafisha picha za passports. Iwe inafanya kazi mda mrefu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
We have over 140 short course training programmes for an individual, group as well as an organisation ranging from Management, Human Resource, Procurement, Accounting, Quality Management, NGo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja 20 kwa 20 na ujenzi umeanza kipo Mbezi Msumi kinauzwa kwa bei ya Tshs 16,000,000/ kama unapenda kukiona tuwasiliane kwa 0712-615544. Karibu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. tunahitaji matofali yenye ubora kwa bei nafuu. mwenye kushughulika na haya tafadhali tuambizane.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sheets To_Go wamekuletea mzigo mpya mashuka mazuri pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza smasung note 3 Bei 150,000 Imeharibika saketi kwahio inasumbua kusoma lime Vingine vyte viko sawa Gb32 Piga 0765114158
0 Reactions
4 Replies
685 Views
Habari zenu wakuu nipo Arusha kikazi ila soon nitahamia Mwanza, naomba kuuliza je kwa Mwanza maeneo ya Buswelu au Nyakato chumba double self nitapata kwa shilingi ngap kwa mwezi..asanteni
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Application iliyopo playstore na website iliyokuwa na full domain zinauzwa bei rahisi application ina downloads 50,000+ Mawasiliano:whatsapp +255685837875 Call:+255685837875...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza mbwa wa kizungu bei ni laki nne na nusu ila mazungumzo yapo kwa mawasiliano zaidi nichek kwa number hii.0719708708karibun
0 Reactions
12 Replies
14K Views
Simu yangu hii NOKIA 6760s-1 yaku slide imevia wino kwenye screen. Naomba kupata fundi wa kunibadilishia kio kingine iliniendelee kuitumia simu yangu. Ni PM kama msaada utakua nao. Asante.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Alionacho icho kitabu plz anichek kw namba zifuatazo tufnye bihashsra 0679292962 0629039905(whatsup)
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hbr zenu naweza pata betri mpya ya Samsung S3 nipo arusha
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Back
Top Bottom