Njoo ujifunze jinsi ya kuingiza kipato kwa kutumia biashara za kimitandao.
Semina itafanyika Melisha Training center iliyoko MWANAKWEREKWE karibu na bank ya PBZ
Muda ni saa kumi nambili...
We produce Real registered and Novelty passports,drivers licenses,ID cards,birth certificates,diplomas,Visas,SSN,Marriage certificates,divorce papers,US green cards,University degrees Gun...
Nyumba ya vyumba vitatu,
a) Master bedroom na viwili vya kawaida.
b) Sitting Room na dinning room.
c) Ina choo cha ndanibkwa ajili ya hizo room mbili kukiwa na corridor moja.
d) Ukubwa wa eneo...
Habari zenu wadau,.. mwenye uhitaji wa kiwanja na nyumba ipo Mabibo inauzwa.
Location;Mabibo nyuma ya kiwanda cha MO Ukiwa (Mandela road)
Nyumba ni kubwa ina vyumba vya kulala vitatu (master's...
Habari za muda ndugu zangu wanaJF
Naomba msaada jaman hv n taasis gani ambayo inatoa mkopo chap chap maana dada yangu n mgonjwa na anatomies kufanyiwa upasuaji India ili tunusuru uhai wake na mim...
Wadau wa madini,natafuta sehemu zenye Madini sana sana Green tourmaline ya kupiga mabox(sesa) na kuchekecha. Lengo langu ni kushirikiana kupiga kazi. Nalenga zaidi maeneo ya kaskazini (Manyara na...
Natafuta mishumaa ile inayofukuza Mbu kwa bei ya jumla , kama unayo au unapafahamu sehemu inapopatikana naomba msaada. Napatikana Ubungo Riverside DSM natanguliza shukrani kwa msaada...
Husika na kichwa cha habari, napatikana mwanza naomba mwenye line za uwakala tigo na voda tuwasiliane, uwe ni mtu unayeeleweka na usinijie kwa njia ya kunitapeli, au kama line zako zina matatizo...
Habari wana jukwaa,
Natafuta catering nzuri na yenye uzoefu na upikaji wa vyakula kisasa kwenye maharusi,lazima apatikane
Dar na awe na mchanganuo mzuri wa menu na bei zake.
Kwa yoyote aliyetayari...
Kwa mawasiliano piga 0738 441351 tukuhudumie. Kwa wajasiliamali, wafanyabiashara na waajiriwa serikalini na sekta binafsi.
Kuanzia 1 milioni nakuendelea dhamana ni gari yako tuu
Page ina likes 100k.
Talking about ni from 20k
people follow this 111k
Nitakuunga kama editor uwe una post just free lakini kwa masharti yafuatayo.
1:Husiwe na website/blog iliyo na pop up ads...
Je una used item yoyote unayoitaji kuiuza au kuinunua na hujui n wapi utaiuza,soluhisho limepatikana karibu tukusaidie kuuza na kununua kwa bei poa kabisa call/WhatsApp 0718096900
Majiko mapya ya kisasa imara na yenye ubora wa tbs na yenye kuhifadhi joto na kutumia nishati kidogo katika kupika, kuchemsha, kukaanga chakula cha aina yoyote ile. Ni mazuri sana unayatumia...
Wadau habarini!
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato...
Wakuu!
Inatakiwa DHAHABU kwa ajiri soko la nje.
-LOI imeshatumwa tayari.
-Payment system ni CIF.
-100 kg every month.
-22 karat (Purity)
-Contract itakua ya 1 year.
-Buyers Country ni Dubai.
So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.