Albert chicharo
Member
- Jan 2, 2018
- 31
- 37
.
Akupe bure utest ikikubali umlipe na utuletee mrejesho watu wanalegeza vyuma kirahisi sana kwa mtaji wa ujinga wa binadamu wenzaoNasubiri mashahidi tu mkuu.
Hawezi kukwambia ofsi yake maisha yako yote, bcoz wanajifanya hawataki kujulikan!!!Hebu tupe ofisi ilipo mkuu tuje kujinunulia hapo hapo utusaidie kujiunga. Usijali umbali wala urefu wa ulipo.
Hawezi kukwambia ofsi yake maisha yako yote, bcoz wanajifanya hawataki kujulikan!!!
Hahhahahhhahahah duh!!!Kawauzie mateja
Duh jaman mbona huyu tapel amefuta Uzi wakeeee
Tena akili za kiwango cha juuKila la heri kwenye biashara yako mkuu, maana siku zote Mjini ni akili.
Tenah mwambie huyo jamaa mwenye namba uliyo iweka kwenye hilo tangazo lako anirudishie hela yangu, maana aliahidi trh 10 na imeshapita, la sivyo ataiona jf chungu, bcoz details zote kuhusu yeye ni nazo, zikiwemo na picha zake, yan ni suala la muda tuh inshaALLAH!!!