Tranquility State
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 121
- 96
Kwa wale wenye kuhitaji viwanja kwa ajili ya makazi maeneo ya Makabe,Msakuzi na Goba Mpakani tuwasiliane ili uweze kusaidiwa.
Viwanja vipo sehemu nzuri,yalikuwa ni mashamba sasa vimekatwa viwanja kuanzia mita 20*20 hivyo pesa yako ndio itakufanya wewe ununue mita 20*20 au 40*40.
Bei iko hivi:
Mita 20*20>6.5mil
Mita 20*40>13mil
Mita 40*40>26mil
Huduma mhimu zilizopo ni Umeme na Barabara zilizopimwa.
Viwanja vipo sehemu nzuri,yalikuwa ni mashamba sasa vimekatwa viwanja kuanzia mita 20*20 hivyo pesa yako ndio itakufanya wewe ununue mita 20*20 au 40*40.
Bei iko hivi:
Mita 20*20>6.5mil
Mita 20*40>13mil
Mita 40*40>26mil
Huduma mhimu zilizopo ni Umeme na Barabara zilizopimwa.