Habari wana jf!
Jipatie home theater Aina ya Panasonic yenye watt 1000 kwa bei ya 400,000 tu
Kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
Nipo Dar es salaam
Hi wanafamily wa JF!!
Plz, nataka kuweka Umeme wa jua kwa kibanda yangu, loc- Mbezi Temboni Dsm, iwe na uwezo wa kuwasha bulb za wts 40 or less idadi 8, kucharge simu, kutumia Laptop and if...
Sepon Ltd ni kampuni iliyosajiliwa na BRELA incorporation no. 101794, TRA tin no. 121-899-779, pia value added tax (vrn) no. 40-017145-0, Kinondoni Municipal business licence no. B 01578223. Pia...
Habari wadau,
Ninauza hard disc ya Transcend 500Gb,imetumika mara moja tu(nasisitiza imetumika mara moja tu)
Bei Tsh 80,000/=
Napatikana Dar,mwenye kuhutaji aje PM tuyajenge.
Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili daresalaam pia mobile shop tunakufukia mpaka home hata mikoani tunawafikia agiza upate kwa wakati kwa nn upoteze mda wako epuka...
Natafuta matango kiasi kwa ajali ya biashara,
Yawe yapo shambani nitafuata mwenyewe,
Ama kama anaweza kuniletea tutazungumza.
Napatikana Kibamba, Dar es Salaam
Bei ya bidhaa itatoka kwa mkulima...
Je unahitaji vifaa vya ulinzi na usalama kwa ajili ya nyumba yako,ofisi,eneo la biashara au gari lako? Karibu I Secure Technology tukuhudumie.
Huduma zitolewazo na I Secure Technology ni;
1-GPS...
You’ll find tons of helpful tips and articles for singers in my new book 101 Letters from a Vocal Coach, now available in paperback from Amazon, Barnes & Noble and Lulu. For more info and for...
Binafsi mimi ni mmoja wa watu naoamini msaada wa huu mtandao.
Bila kupoteza wakati ndugu zangu nahitaji mtu au dalali wa bei nafuu ambae anaweza nisaidia kupata chumba hapo dodoma tuweze wasiliana...
Tuwasiliane kwa Mwenye uhitaji wa hizi bidhaa;-
Display ya miwani inauzwa 300,000 INA Display miwani pc 105(mia na tano) kwa wati mmoja.
Ni kubwa, na juu kabisa INA vioo viwili.
Inafaa kwa mtu...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza wapi ninaweza pata biometric devirce kwa ajili ya fingerprint na signature na bei yake ikoje nilikuwa nahitaji hicho kifaa.
Mwenye kufahamu wapi naweza kuvipata na...
Natafuta mtu wa kuinvest kwenye idea yangu ya biashara!
Mtu aweze kuinvest kuanzia 5milion kupanda! Kama ni mkopo nitamlipa kwa marejesho ila kama ni only investment atapata shares katika...
Ndugu zangu wanaJF nimelazimika kukiweka kiwanja changu rehani kilichopo maeneo ya Mbezi ya Msakuzi kwa makubaliano ya kurejesha pesa hiyo.
Nina shida ya haraka nawaomba sana anayeijua taasisi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.