Nauza kitanda cha chuma 4*6, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo
Bei 250,000
Nipo Dar es salaam, kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
Nyumba ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Watuwengi wamwjitahidi kujenga nyumba nzuri lakini zimeshindwa kufikia ndoto zao kwa sababu ndogo ndogo zikiwemo Kipato duni, kutumia mafundi...
habari wadau, namtafuta mtu aliyejulikana kwa jina BEST, alikuwa anapakia mchele miaka ya 1992 TANDALE SOKONI, hatujui jina kamili ila alikuwa anatumia jina na a.k.a BEST. Mwenye mahusiano naye...
Nyumba ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu. Watuwengi wamwjitahidi kujenga nyumba nzuri lakini zimeshindwa kufikia ndoto zao kwa sababu ndogo ndogo zikiwemo Kipato duni, kutumia mafundi...
Habari wakuu
Kwa wale wataalam wa power bank na wanaojua brands nzuri za power bank basi wanaielewa vizuri Xiaomi brand products.
Bei ya kuuzia ni Tsh 120,000/=
Pungufu ya hapo tunazungumza...
Habari wadau,hope mko poa jamani kwa wale ambao wako mwanza tuna kampuni ya kukopesha.Tunakopesha kuanzia laki moja adi million kumi,tunakopesha kwa dhamana binafsi kama simu,computer gari n.k kwa...
Yeyote anaye jua dawa nxuri ya kutibu minyoo aina ya Amoeba anisaidie, nimetumia dawa mbali mbali wapi, inapona baada ya mda fulani inaludi tena, msaada ndugu zangu
Ndugu mpendwa
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
ENEO la ziwani hekari 30 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,
SIFA ZA ENEO...
Wasalaam wanajamvi...
Moja kwa moja kwenye topic.
Ni kwamba nahitaji friji. Friji hii iwe ya makampuni ya vinywaji mfano PEPSI, COCACOLA...
Sasa basi ningependa kuuliza je, upatikanaji wake...
Husika na kichwa hapo juu,nauza blackberry playbook haina tatizo jengine zaidi ya crack ndogo kwenye screen ambayo won't cost you a thing
Bei 150000/= nakupa na chaja yake OG.
Nipo,Ubungo...
Nyumba ina vyumba vinne, master bed room 1 na bed rooms 3, choo na bafu vya ndani, Sitting na Dinning Room pamoja na jiko la ndani.
Ukubwa wa eneo la kiwanja ni medium 40 kwa 30, ina offa na...
Nilikuwa nataka nipatiwe taarifa kampuni zinazotoa Huduma ya car tracking nzuri.Makampuni yapo mengi ila penye miti mingi hapakosi wajenzi hivyo nahitaji kujua kwa uzoefu wenu kampuni zinazotoa...
KWA HAYA NJOO INBOX WHATSAAP 0625978435 UJIFUNZE KWA GHARAMA NDOGO. NA UKIPENDA NAKUFANYIA MIMI MWENYEWE KWA HODA YAKO!!
✍ Spying Messages
Messages za WhatsApp, za kawaida, simu alizopiga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.