HYDROPONICS FODDER - KITABU

HYDROPONICS FODDER - KITABU

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,617
Kitabu cha mafunzo ya kuandaa chakula cha mifugo - Hydroponics Fodder sasa kipo mtaani. Pata nakala yako ulipo - Tupigie simu 0655 533 543. Rejareja Tshs. 5,000/= Kwa wanaohitaji kwa jumla Tshs. 3,000/= kuanzia copy 15 na kuendelea.
Book cover front.jpg
 
MAFUNZO HAYO KWA VITENDO YANAENDESHWA KWENYE KITUO CHA MWASENDA DEVELOPMENT INTERVENTION (MDI)
Hapo ni kituo cha NGO inayojishughulisha na huduma kwa jamii; moja ya shughuli zake ni kuendeleza teknolojia mbalimbali. Kuanzia mwezi April 2018 tutakuwa na program ya kuwafundisha wajasiriamali - wafugaji namna ya kuzalisha Hydroponic Fodder kwa ajili ya kupunguza gharama za malisho kwa zaidi ya 50%.
Vituo vyetu:
Mwanza: Nyasaka Centre Karibu na Buzuruga Bus Stand.
Nzega: Nkinga karibu na hospital.
Kwa mawasiliano wazeza ku-PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom