Kiwanja chenye nyumba kinauzwa

Kiwanja chenye nyumba kinauzwa

Ms mol

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2017
Posts
1,960
Reaction score
2,352
Habari wadau... Ninauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba vinne na sebule,

kiwanja kipo karibu kabisa na stand mpya ya nyashishi mwanza ( mita 150 kutoka barabara kuu).
Nawakaribisha wateja wote

watu binafsi.

makampuni ya simu ulinzi nk.

Bei 25 million..
Asanteni
 
Habari wadau... Ninauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba vinne na sebule,

kiwanja kipo karibu kabisa na stand mpya ya nyashishi mwanza ( mita 150 kutoka barabara kuu).
Nawakaribisha wateja wote

watu binafsi.

makampuni ya simu ulinzi nk.

Bei 25 million..
Asanteni

Ngoja Kwanza ' tufidiwe ' vyetu vilivyopo barabarani kisha tutakuja kukinunua tu hicho chako Mkuu. Kitunze usikiuze!
 
Habari wadau... Ninauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba vinne na sebule,

kiwanja kipo karibu kabisa na stand mpya ya nyashishi mwanza ( mita 150 kutoka barabara kuu).
Nawakaribisha wateja wote

watu binafsi.

makampuni ya simu ulinzi nk.

Bei 25 million..
Asanteni
nyashishi ndo wapi Mkuu
 
Weka picha

Taja size ya kiwanja

Taja umbali kutoka Mwanza mjini
 
Ziweke mkuu, Je kiwanja kimepimwa na kina hati
Mkuu naomba km itakupendeza nizirushe whatsap simu yangu inakataa kuziattach hapa,

Nilijaribu kufanya follow up ardhi pale mwanza nikaona yule jamaa ananipiga dandana, so vimewekewa mipaka na serikali ya mtaa
 
Watu wa minara ya voda, Tigo nk... Stand ya daladala imehamia nyashishi mwanza, tafadhali nunueni eneo langu mjenge minara.....!!!
 
Nimefuatilia post ya kwanza hadi ya mwisho lakini cjaona picha wala ukubwa wa kiwanja husika!

Ms mol, kuwa serious bhana! Kama hujauza; basi weka hizo mambo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom