Ni pm # yako chief
Ova
Mie naomba kujifunza jinsi ya kupanda na kuhudumia zao hilo je unalimia wapi! !Habari wakuu!
Nina tangawizi takribani tani 50 na itakuwa tayari kufikia mwezi wa tano. Ni wapi naweza kupata soko zuri?
Ntakuchek mkuu Kna Masoko nmepayata kampala la viungo na tangawizi ipo pia ntakupigia sm tuonge kirefuKaribu chief! 0622661196