Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jamani yeyote mwenye connection ya jinsi gan naweza kupata kiwanja kijichi anipm
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiwanja kiwanja kipo mtoni kijichi,kina view mkondo wa bahari, kina 2000sqm na kina leseni ya makazi(residential licence) bei 60mil maongezi yapo....pm
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Natafuta computer Yenye specification zifuatazo Iwe na RAM 4GB au zaidi Core i6 au i5 64bit operating system Laptop au desktop NVIDIA shield graphics
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Waungwana naomba kuuliza bei Za soda Za brand ya Coca Cola toka kiwandani inaweza kua sh ngapi na nawezaje kupata uargent ....I mean vigezo gani natakiwa kua navyo....naongelea Zile Za chupa ya...
1 Reactions
9 Replies
19K Views
Type: Canon Image Runner 2318 for Sale GPR 18 Tonner Printer Software CD User Manual CD + 1 User Manual Book. Price: Tsh 1.5M Contact:
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Hazina michubuko wala kuchanika bado mpya kitambaa ni lather ya kibongo. Hazjabonyea popote maana hazkaliwi Mara nyingi. Lipo kubwa LA watu wawili na mawili ya MTU mmoja mmoja jumla matatu...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Natafuta laini ya uwakala TIGOPESA nipo Tanga kwa yeyote Mwenye nayo tuwasiliane,0715030532
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari Wana Jamvi Ifanye nyumba yako iwe namuonekano wakupendeza kwagharama nafuu kabisa Wasiliana nasi kwamahitaji ya; BATHROOM PERTITION VIOO VYAKUTENGA BAFU NACHOO MADIRISHA YAKISASA BALUSTERS...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Natafuta mikorosho ya kisasa? Nitapataje mwenye kujua pakuipata aniPM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari, Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa Inachuja yenyewe Inaweza kusaga mpaka kilo 300 kwa saa 1 750W Inawarranty ya mwaka mzima 1,100,000/ only...
3 Reactions
60 Replies
16K Views
Habarini wana jf. Kama kichwa kinavyo jieleza. Kuku aina ya Sasso majogoo na matetea walio na umri wa miezi sita wanauzwa. Bei yake kwa majogoo inaanzia shilingi 15000/= -- 20000/= na kwa matetea...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu kwema nahitaji kasuku ( Parot ) wa kununua nipo Arusha au msaada wa wapi ntaweza pata kasuku mmoja. -----update------ Wakuu bado sijampata huyu ndege nampenda na namuhitaji zaidi ya Sana...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Nothing Serious S1 Ep 1 _ Breezyy Appearance Nothing serious Inahusiana Na vitu flani flani vya harakati za vijana. kijana yoyote yule mchapa kazi atakuwa anaweza kuomba kuonana nasi tukafika...
1 Reactions
0 Replies
667 Views
Gari aina ya Suzuki Swift ipo katika hali nzuri sana, bei ni Tsh. 3,000,000/= ila inatatizo dogo katika gia box. ni automatoc, rangi nyeusi, lipo Dar Es Salaam. Wasiliana nami kwa simu Na. 0713...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii hapo chini Ni aina ya BOSS Bei yake Tsh 350,000/= Ipo complete Ina matengenezo kidogo
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Njoo nikuuzie Tecno camon C9 ambayo niliinunua dukani, na simu naitumia mimi mwenyewe pia haina Tatizo lolote Specifications za simu Camera mbele na Nyuma 13MP RAM 2GB storage 16GB Rangi ni...
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Wakuu kama tangazo linavyojieleza hapo juu nina kiwanja changu nakisukuma kwa bei cheee kipo maeneo ya mbezi msumi kina ukubwa wa 20*23 hatua za miguu ... Njoo pm
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Amani kwenu wadau, Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea watoto yatima cha mama Anna Mkapa. Ni eneo zuri kwa...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Nataka mashine ya boat ndogo 15hs, iwe yamaha Nataka kwajil ya kutumika kwenye boat ndogo Aliyenaye iwe nzima isiwe na tatizo lolote Ofa yangu milion2
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom