Nahitaji vifaranga vya kuku chotara

The hammer

JF-Expert Member
May 17, 2011
2,385
1,769
Wakuu, nipo Mbeya nahitaji vifaranga wa kuku chotara...je ni wapi wanauza kwa maeneo ya jirani iwe Mbeya mjini, Mbozi, Mbarali au hata Tukuyu na Makambako. Aina gani ya vifaranga hao ni bora kwa ufugaji kwa maana wanakuwa wakubwa na wazito zaidi na hata utagaji. Nashukuru
 
Hivi hawa kuku chotara huwa wanataga na kuatamia mayai na kutotoa kama wa kienyeji?
 
Wakuu, nipo Mbeya nahitaji vifaranga wa kuku chotara...je ni wapi wanauza kwa maeneo ya jirani iwe Mbeya mjini, Mbozi, Mbarali au hata Tukuyu na Makambako. Aina gani ya vifaranga hao ni bora kwa ufugaji kwa maana wanakuwa wakubwa na wazito zaidi na hata utagaji. Nashukuru
Habari..je ulishapata vifaranga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom