Habari yenu ndugu natafuta dada wa kazi za ndani awe bint kuanzia miak 18-22 ,sina mtoto naishi kweny nyumb yangu mshahara ni alfu arobaini
Lengo la kusaka dada wa kazi ni kwamba nachoka kufany...
Offer offer offer
vifaranga vya bei bora wa kuku wa kienyeji wa miexi miwili vinapatikana kwa sh 6000
*wamashapewa chanjo zote za mwanzo
*wanastahimili magonjwa
*huhitaji muda mwingi kuwaangalia...
Tunachora michoro ya kila aina na kutoa mafunzo ya softwares.
ANGALIA TANGAZO NA MFANO WA NYUMBA ZILIZOCHORWA HAPA CHINI.
MAWASILIANO; 0766022653 OR mdctanzania1@gmail.com
Habari wana JamiiForum na hususani wale wafuatiliaji wazuri wa jukwaa letu pendwa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali. Napenda tujadili na vilevile kutoa ushauri juu ya wajasiriamali na...
Tuna fanya promotion za akaunti za youtube na instagram.
Tunafanya promotion locally ikiwa na maana kuwa youtube subscibers, au Instagram followers wako wanakuwa ni Watanzania.
Package zetu ni...
Nahitaji dagaa wasio na mchanga kutoka Musoma. Kwa wenye kuelewa nngependa kujua bei ya gunia na gharama za usafiri kutoka Musoma hadi Arusha. Kwa ambao wapo kwenye biashara ya hawa dagaa naomba...
Ninatauta model wa kiume ambaye ata fanya kazi kwa siku tatu kwa malipo ya 60,000 kwa siku kwa muda wa siku tatu .kazi atakayo shughulika nayo ni kupigwa picha za ufukweni .vigezo vinajulikana...
Nahitaji kununua livestock mineral mix kwa ajili ya chakula cha mifugo. Wapi naweza kununua hapa Dar. Mfano ni kama hapo chini, si lazima iwe kama hii ila huu ni mfano tuu.
Habari wakuu,
Nauza simu yangu aina ya Samsung grand prime plus ikiwa na sifa zifuatazo:
1. Kioo cha inchi 5
2. Laini 2 za kukata
3. Ina 4 G Lte
4. Kamera ya mbele 5 MP
5. Kamera ya nyuma 8 MP
6...
Nauza Viatu Hivi Vya Kike Kwa Bei Chee! Nipo Dar es salaam, ila pia mkoani ninatuma kwa gharama ya mteja, ni Viatu vizuri na simple vyenye kupendeza na kuvutia kwa wadada hasa wanaoenda na...
Amani kwenu wadau,
Smartphone aina huawei G510 na usb modem aina ya vodafone k3772-z zinauzwa.
Zipo katika hali nzuri, hazina tatizo lolote.
kwa yoyote anayehitaji anichek 0754669580.
bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.