Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,660
Habari?
Nimechimba bwawa dogo kwaajili ya ufugaji wa samaki hapa nyumbani. Ni ufugaji kwaajili ya hobbie tu si kibiashara.....
Sasa udogo huu hautuamishi maji hivyo maji yanapotea sana nikashauriwa nitumie NAILONI "polythene sheet" ili kudhibiti upotevu huu wa maji: sasa basi mwenye kujua
1. Hizi sheet zinapatikana wapi kwa JIJINI MBEYA?
2. Zinauzwaje kwa sheet ya ukubwa 5M x 10M?
3. Inadumu kwa muda gani kabla ya kubadilishwa?
Asanteni
Nimechimba bwawa dogo kwaajili ya ufugaji wa samaki hapa nyumbani. Ni ufugaji kwaajili ya hobbie tu si kibiashara.....
Sasa udogo huu hautuamishi maji hivyo maji yanapotea sana nikashauriwa nitumie NAILONI "polythene sheet" ili kudhibiti upotevu huu wa maji: sasa basi mwenye kujua
1. Hizi sheet zinapatikana wapi kwa JIJINI MBEYA?
2. Zinauzwaje kwa sheet ya ukubwa 5M x 10M?
3. Inadumu kwa muda gani kabla ya kubadilishwa?
Asanteni