Nyumba ipo Pumwani Mita mia 2 kutoka ilipo barabara ina vyumba viwili vilivyokamilika na ina eneo kubwa la kujenga metre 20 kwa 28 gari linafika hadi mlangoni kuna umeme maji ndo usiseme nauli ya...
Naitwa Enock, napatikana Mbeya, mimi ni fundi wa kutengeneza sofa pamoja na vitanda vya sofa. Napokea oda pia kama ukihitaji.
Mawasiliano yangu ni
0652874876,
0621053216 na
0758079171
Simu bado ipo kwenye condition nzuri, haina crake wala mchubuko kwenye screen, inahifadhi chaji, ina nchi 7, 16 Gb na 1 Gb Ram, kwa 180,000 tu, unapata na Flip cover yake.
Nipo kigamboni dar
Kuku wapo 60, wa miezi 2,3,4,5
Mitetea ndio wengi majogoo wachache
Bei kuanzia 11,000
Nna safari ya haraka sana hao wadogowadogo ni maelewano tuu
0625512092
0715878280
Habari wana jamvi,
Kampuni ya Urban Farming inayojihusisha na utafiti na uzalishaji wa viazi lishe, ikijikita nyanda za Kazikazini hususani mkoa wa Arusha.
Inakutangazia kuwa wameanza kuvuna...
Habari wandugu
Naomba kuuliza bei na sehemu wanaponunua miamvuli,nylon coats(rain coats) kwa bei ya jumla nataka niongeze bidhaa dukani mana ni fursa hasa kipindi hiki cha mvua.
Napatikana DSM...
HP compaq Desktop inauzwa 250,000/-
HDD 250 Gb
RAM 2.00 Gb
Processor Intel (R) Core (TM) i3-2120 CPU @ 3.30Ghz
One CD rom drive
Monitor DELL 21 inch
Keyboard
Mouse
All wire cable
Kwa mawasiliano...
http://www.kibitidc.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/MIKOPO YA TREKA.pdf
NB:
tangazo lina jieleza... uvivu wa kitanzania na maswali ya siyo ya msingi wakati mimi ni informer tu...
HIVI NDIVYO UNAYO WEZA KUUNDA KICHWA KWA KUTUMIA 3D PROGRAM
UNAWEZA FANYA HIVI ENDAPO UKIWA NA ELIMU YA 3D PROGRAM AMBAYO TANZANIA KWA SASA VIJANA WENGI WANA ISOMEA HII APAAA
YouTube BONYEZA HAPA...
Husika na kichwa Cha tangazo happy Juu ninauza used laptop aina ya Lenovo na Hp.sifa zake hizi hapa
1. used lenovo thinkpad x220 medium pc, processor core i5-2520M,ram 4gb,hdd...
Habari wakuu, nasikia kipindi cha mavuno mpunga hufikia hadi elfu tano kwa debe moja na gunia hufikia hadi elfu hamsini. Swali langu ni kwamba hili debe ukikoboa unatoa kg ngapi za mchele? Na hili...
Habari
Gari aina ya Toyota raum new model inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji.
Gari ni namba DEB ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za...
Habari zenu wadau...
Mimi ni mtumishi nimepangiwa kazi halmashauri ya wilaya ya musoma mjini... Nilikuwa naomba kujua bei elekezi ya vyumba vya kupanga chumba na sebule itapendeza ikiwa na choo...
'It's hard to say when but this is a certainty': Bill Gates warns another financial crisis is coming like the 2008 Great Recession
Bill Gates participates in a Reddit 'Ask Me Anything' and...
Napenda niwasalimie wana jamii forums,natumai hamjambo,kama unajihisi hauko sawa kiafya basi nikupe pole.
Wapendwa,naomba niwasaidie watu wenye shida ya amoeba,kiukweli ni ugonjwa ambao unakosesha...