Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,535
Habari zenu wanajamvi!
Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema na upendo juu yetu.
Natafuta risiva ya freesat v7, combo au max , nimejaribu kupita kwenye blog mbali mbali nimeona bei yake inaanzia 140000 mpaka 165000 pia kuna mdau katika uzi flani humu alipost akisema kwa kawaida inauzwa 100000 ukipigwa sana basi 110000 ,Mpaka sasa nashindwa kuelewa bei halisi ni ipi manake pia kuna mzee aliletewa na fundi wake huku USHIROMBO ,GEITA akaambiwa bei ni 400000
Ukweli ni kwamba sipendi KUPIGWA ila napenda kununua kitu kwa bei stahiki ,
Hivyo kwa heshima nawaomba wanajamvi mnithibitishie bei halisi ya hii bidhaa ili niinunue,
Kilichonivutia inafungua biss key, power vu na trandberg encropted channels pia ni autoroll halafu pia ni unafuu wa bei .
Nathamini mawazo yenu.
Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema na upendo juu yetu.
Natafuta risiva ya freesat v7, combo au max , nimejaribu kupita kwenye blog mbali mbali nimeona bei yake inaanzia 140000 mpaka 165000 pia kuna mdau katika uzi flani humu alipost akisema kwa kawaida inauzwa 100000 ukipigwa sana basi 110000 ,Mpaka sasa nashindwa kuelewa bei halisi ni ipi manake pia kuna mzee aliletewa na fundi wake huku USHIROMBO ,GEITA akaambiwa bei ni 400000
Ukweli ni kwamba sipendi KUPIGWA ila napenda kununua kitu kwa bei stahiki ,
Hivyo kwa heshima nawaomba wanajamvi mnithibitishie bei halisi ya hii bidhaa ili niinunue,
Kilichonivutia inafungua biss key, power vu na trandberg encropted channels pia ni autoroll halafu pia ni unafuu wa bei .
Nathamini mawazo yenu.