“Sub-Woofer” aina ya Aborder AB 831BT kama inavyoonekana katika picha, inauzwa kwa bei ya shilingi laki moja tu (sh.100,000/=) bila punguzo.
Vilevile pata “Deep Fryer” kama inavyoonekana kwenye...
Nyumba nzuri yenye uimara inauzwa
-ina vyumba vitano vya kulala
-ina ukumbi mdogo wa sinema
-ina nyumba ndogo ya wafanyakazi
-ina ofisi
Iko latika eneo la ukubwa wa 4329 sqm
Eneo ni mbezi juu...
Wakuu nahitaji Fundi mzuri wa Engine ya RAV4 hapa DAR. Anae mfaham naomba anijukishe. Mimi naishi Tabata ila popote namfuata. Aweke na mawasiliano ili iwe rahisi kumfikia
Kama wewe ni mnunuzi wa uhakika, au una mnunuzi mwenye uhakika nicheki inbox upate nyumba nzuri na imara yenye
-vyumba vitano vya kulala
-sebule
-sehemu ya chakula na jiko
-ukumbi mdogo wa sinema...
WADAU,
NATAFUTA SHAMBA LA KUNUNUA MKOANI MOROGORO KWAAJIRI YA KILIMO KIKUBWA.
LIKIWA KARIBU NA CHANZO CHA MAJI ITAFAA SANA. NAITAJI EKA 50-100.
AHSANTE.
Xiaomi mi 5x
Ram 4GB
Capacity 64GB
Dual camera 12MP+12MP
Battery Capacity 3080mAh
Clean condition has a minor crack on kwenye screen kwa juu bei 350k
Mawasiliano : 0746142301
Location :DSM
Habari Wakuu,
Nimatumaini yangu Wote wazima na Mnaendelea na Shughuli zenu za Kila Siku
Kama Kichwa cha uzi huu kinavyojieleza nahitaji Video Editor App Androids na pia kama Zipo kwa Matumizi...
Habar ya asubuhi wenzangu .nnahitaji vanilla nyingi au naamaanisha mzigo wa vanilla ambazo hazijakamuliwa .naombeni mnielekeze mahali zinapopatikana au ambae anazo anijulishe ntashukuru sana...
Habari wakuu,
Nauza laini za uwakala, ziko mbili ya tigopesa na airtel money. Zote naziuza kwa Tshs.300,000/= ama kwa moja moja tigopesa nauza Tshs.180,000/ na airtel money nauza Tshs.120,000/=...
Habari wakuu!
Kama wewe ni Mwanafunzi wa Secondary au Chuo,ungependa kuishi hostel ili uweze kusoma kwa utulivu,Hostel zipo zinapatikana maeneo ya Ukonga-Banana zina kila kitu ndani Njoo na...
Ninauza friji kubwa la milango miwili ya kioo na friji kubwa la kampuni ya Westpoint.
Yote ni used ila yapo kwenye hali nzuri na bei ni maelewano.
Friji bei ni laki 7 na friza ni laki 6. Cheki...
Hello wana JF,
Naombeni msaada wa mahali ambapo naweza kununua nguo za kodroy (kodry) kwa hapa DSM. Nitashukuru iwapo kama nitapata mwongozo mzuri. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.