Hostel zipo kwa wanafunzi wa seconadry na chuo

Hostel zipo kwa wanafunzi wa seconadry na chuo

kaka9

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
280
Reaction score
113
Habari wakuu!


Kama wewe ni Mwanafunzi wa Secondary au Chuo,ungependa kuishi hostel ili uweze kusoma kwa utulivu,Hostel zipo zinapatikana maeneo ya Ukonga-Banana zina kila kitu ndani Njoo na Shuka yako tu,maji yapo,umeme wa uhakika,sehemu ya jiko ipo kwa wanaopenda kupika,Bei nafuu sana kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0673269820.
 
mim chekechea vp nitapata room hapo[emoji124][emoji124]
 
Back
Top Bottom