yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,589
- 1,320
hii barabara alijenga kikweteMungu mbariki rais wetu, 250KM hapo Gari ya Selasini inaweza kutembea kwny huo mkeka hata bila nati kwny matairi
Unaelewa kuwa toka Jk aingie 2005Bado anazindua vya Jakaya, cha kwake alichozindua ni ukuta wa Mererani.
Acha uchochezMradi wa JK
Hahahaha trillions 1.5 zetu ziko wapi wezi nyie?!Unaelewa kuwa toka Jk aingie 2005
Ndio imeisha sasa
miaka mingapi mpuuzi wewe
Unaelewa kuwa toka Jk aingie 2005
Ndio imeisha sasa
miaka mingapi mpuuzi wewe