Ufunguzi wa barabara ya Dodoma - Babati

Ufunguzi wa barabara ya Dodoma - Babati

yamindinda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
1,589
Reaction score
1,320
Dbhon8iW0AA6TW6.jpg:large
 
Watakaoenda huko tujuane mapema, nina gari binafsi kama kuna mtu ataenda aje twende kuchakaza huo mkeka.
 
Anafungua Baba Jesca? Amenikumbusha enzi za Mh. Ghalib Bilali (Mzee wa kuzindua tu)
Waziri husika ana kazi gani?
 
Hii barabara nilipita mwaka jana nikitoka dom kwenda arusha...ipo vzr sn ikishafunguliwa rasmi tochi zitakuwa kibao hatuwezi kutembea kwa mwendo ule tena
 
Raisi atakuja kufungua pia barabara ya Iringa Dodoma ambayo kwa sasa inazibwa viraka pale nduli jirani na airport
 
Back
Top Bottom