Nauza Ng'ombe wa maziwa

Nauza Ng'ombe wa maziwa

Joined
Aug 6, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Habari...Nauza ng'ombe wa maziwa kwa bei ya 1.6 million...ila maongezi yapo. Kwa uhitaji 0653201062.
 
Picha
 

Attachments

  • FB_IMG_1524159444729.jpg
    FB_IMG_1524159444729.jpg
    19.8 KB · Views: 205
  • FB_IMG_1524159444729.jpg
    FB_IMG_1524159444729.jpg
    19.8 KB · Views: 206
Kapicha kanahitajika mkuu tuone kama ana mkia asije akawa kama wale wengine wa Rangi ya kijani
 
Umri wa huyo ng'ombe na aina gani au mixer
Unapatikana wapi
Amezaa mara ngapi
 
Ng'ombe zangu hawaendi machungani Bali wanaletewa majani hapohapo nyumbani... Maziwa yake ni ya uhakika.
 
kiasi cha maziwa anayota maana kuna wale wanauzwa sanya juu kwa masister wanatoa mpk Lt 15 Kwa mara moja
 
kiasi cha maziwa anayota maana kuna wale wanauzwa sanya juu kwa masister wanatoa mpk Lt 15 Kwa mara moja
Mkuu naomba unielekeze hao ng'ombe wa sanya juu wanapatikanaje.

Una namba zao za simu ama zako kwa ajili ya mawasiliano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom