Nauza nguo za watoto kwa jumla

Nauza nguo za watoto kwa jumla

Huuu

Senior Member
Joined
May 2, 2017
Posts
116
Reaction score
61
Habari za zenu wanajf!

Nauza nguo za watoto za kike na za kiume za kunzia umri wa miaka miwili mpaka kumi, na ni za dukani, pia kwa ambao ana malengo ya kuanzisha duka zitamfaa zaidi maana pia kuna vifaa kama hanger na nondo kwa ajili ya kutundikia nguo.
Kwenye picha ni baadhi nguo zilizopo, Karibuni sana.
InShot_20170516_132247.jpg
 
Mkuu umengusa ndoto yangu ingawa mtaji wangu hautoshi kivile naomba nikuulize haya maswali kama hautanii.
1.Je kwa mtu wa mkoani unaweza kumtumia? Ni mtumba au spesho?
2.Je bei huwa ni kiasi gani naomba kuhusu bei tuelewane PM baada ya kunijibu swali la kwanza.
Kama unatuma je utaratibu utakuwaje malipo kabla ya me kupata mzigo au nibaada ya kupata.
Asante pia sitanii. Ninampango ndani ya mwezi huu nianzishe biashara yangu
 
Mkuu umengusa ndoto yangu ingawa mtaji wangu hautoshi kivile naomba nikuulize haya maswali kama hautanii.
1.Je kwa mtu wa mkoani unaweza kumtumia? Ni mtumba au spesho?
2.Je bei huwa ni kiasi gani naomba kuhusu bei tuelewane PM baada ya kunijibu swali la kwanza.
Kama unatuma je utaratibu utakuwaje malipo kabla ya me kupata mzigo au nibaada ya kupata.
Asante pia sitanii. Ninampango ndani ya mwezi huu nianzishe biashara yangu
Angalia pm yako mkuu
 
Back
Top Bottom