Kwa mkopo mrahisi wenye riba nafuu zaidi usio na ubabaishaji wa aina yoyote ndani ya dakika tano ,Tala ndo jibu lako
Cha kufanya ingia playstore kisha pakua app ya Tala Tanzania
Baada ya hapo...
Camera iko vzur sana ni aina ya fujifilm
Inatumia betri ndogo za kawaida, ukitumia rechargeable itakusaidia zaid
Bei 350000
Arusha
Kuna powerbank pia ziko vzur sana capacity ni +20000 zimebaki...
Unasumbuliwa na simu yako tablete ...
Fundi niko kariakoo mtaa walindi na Msimbazi gerezani,
Tuna flash na kutoa lock...
Tuna badilisha vioo yani display pamoja na tach, yani screen touch...
Tuna...
*Samsung fast charger original*
*Price 10000tsh*
*Zinapatikana Dar es salaam na Dodoma* njoo inbox kwa pics
[emoji338] [emoji338]*0753063142,0653316087,0687418839*
Hiace inahitajika, singalii namba ila body iwe nzuri, ndani kuwe safi sio show imekatika katika, siti zimenyofoka nk, kiufupi iwe na muonekano bora, Injini iwe 3L au 1RZ, ujanja ujanja hauwezi...
Hv kwann wateja wanaopeleka vitu kwa fundi wa electronics kwa mfano tv, redio, dvd, pasi, wakipewa bei wanasema ni kubwa na wakati mwengine usishangae anakwambia kwa dharau hee bora nikanunue mpya...
Habarini wana JF, nina mashudu ya alizeti tani 10 yapo Tabora, Natafuta mtu wa kuja kuyanunua kwa bei Tsh 250/= kwa kilo kwa mawasiliano zaidi
0783552816 and 0746495816
Habari wanabodi,
Juzi nilileta tangazo kwamba tunasafirisha mizigo na parcels kwenda mikoa yote Tanzania na tunauza mchele,
Kwanza nikiri kwamba nilipata simu nyingi sana na watu tuka bargain...
hello ..kuna fremu ilifunguliwa mahususi kwa ajili ya biashara ya mpesa, tigo pesa na airtel money, mkataba bado haujaisha, iko eneo zuri lenye wingi wa watu haswa nyakati za kuanzia saa 10...
habari wana jamii
nauza laptop yangu nilotumia kwa mda wa mwezi mmoja. aina ya dell
specification RAM 2GB, HARD DISK 160GB, SPEED 2.5, WALANTEE YA MWAKA 1.
bei 250,000/=
nipo dar, mbezi...
Habari wakuu
Simu aina ya Samsung 6 edge inauzwa.
Ina crake kwenye kioo lakini nyembamba sana sana haionekani kwa urahisi. Bei ni 450,000/= maelewano yapo. Rangi ya gold, imetumika miezi 3. Bado...
Wale wapenzi wa unga wa lishe na dona ..unga wa lishe kwa watoto , familia na wazee una vitubisho vyote ni mchanganyiko wa ulezi, mtama, ngano ,mchele, uwele , karanga , mahindi , soya na mbegu za...
Habari wana Jamii, kutokana na hali ya ngu kiuchumi kudorora, nimeamua kuwaangukia wa Tz wenzangu
Nauza Tecno phantom 8 ina miezi 5, haina itilafu yoyote ile, 650000/=
Nipo dsm
0769190996
Inauzwa hyo mashine
Imetumika mwaka mmoja na kuchange toner 3 jumla imetumia toner 5 hadi sasa......
1.2m fixed
haina tatizo lolote la kiufundi
Narudia ni mpyaaaaaaaaa
Ukiitaka ni PM fasta
1.2M
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.