Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa mkopo mrahisi wenye riba nafuu zaidi usio na ubabaishaji wa aina yoyote ndani ya dakika tano ,Tala ndo jibu lako Cha kufanya ingia playstore kisha pakua app ya Tala Tanzania Baada ya hapo...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
nauza simu hiyo bado mpya kabisa 0689211494 ipo mwanza
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Camera iko vzur sana ni aina ya fujifilm Inatumia betri ndogo za kawaida, ukitumia rechargeable itakusaidia zaid Bei 350000 Arusha Kuna powerbank pia ziko vzur sana capacity ni +20000 zimebaki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unasumbuliwa na simu yako tablete ... Fundi niko kariakoo mtaa walindi na Msimbazi gerezani, Tuna flash na kutoa lock... Tuna badilisha vioo yani display pamoja na tach, yani screen touch... Tuna...
3 Reactions
38 Replies
7K Views
*Samsung fast charger original* *Price 10000tsh* *Zinapatikana Dar es salaam na Dodoma* njoo inbox kwa pics [emoji338] [emoji338]*0753063142,0653316087,0687418839*
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Hiace inahitajika, singalii namba ila body iwe nzuri, ndani kuwe safi sio show imekatika katika, siti zimenyofoka nk, kiufupi iwe na muonekano bora, Injini iwe 3L au 1RZ, ujanja ujanja hauwezi...
0 Reactions
2 Replies
909 Views
Hv kwann wateja wanaopeleka vitu kwa fundi wa electronics kwa mfano tv, redio, dvd, pasi, wakipewa bei wanasema ni kubwa na wakati mwengine usishangae anakwambia kwa dharau hee bora nikanunue mpya...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Habarini wana JF, nina mashudu ya alizeti tani 10 yapo Tabora, Natafuta mtu wa kuja kuyanunua kwa bei Tsh 250/= kwa kilo kwa mawasiliano zaidi 0783552816 and 0746495816
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji kreti tupu 5 za soda(pespsi na coca) na 5 za bia(sbl and tbl) zikiwa na chupa zake,kwa mwenye nazo anichek pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanabodi, Juzi nilileta tangazo kwamba tunasafirisha mizigo na parcels kwenda mikoa yote Tanzania na tunauza mchele, Kwanza nikiri kwamba nilipata simu nyingi sana na watu tuka bargain...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
hello ..kuna fremu ilifunguliwa mahususi kwa ajili ya biashara ya mpesa, tigo pesa na airtel money, mkataba bado haujaisha, iko eneo zuri lenye wingi wa watu haswa nyakati za kuanzia saa 10...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habari wana jamii nauza laptop yangu nilotumia kwa mda wa mwezi mmoja. aina ya dell specification RAM 2GB, HARD DISK 160GB, SPEED 2.5, WALANTEE YA MWAKA 1. bei 250,000/= nipo dar, mbezi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
:p:p:p:(:(:mad::cool::cool::cool::p:cool::mad::(:(
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari wakuu Simu aina ya Samsung 6 edge inauzwa. Ina crake kwenye kioo lakini nyembamba sana sana haionekani kwa urahisi. Bei ni 450,000/= maelewano yapo. Rangi ya gold, imetumika miezi 3. Bado...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wale wapenzi wa unga wa lishe na dona ..unga wa lishe kwa watoto , familia na wazee una vitubisho vyote ni mchanganyiko wa ulezi, mtama, ngano ,mchele, uwele , karanga , mahindi , soya na mbegu za...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana Jamii, kutokana na hali ya ngu kiuchumi kudorora, nimeamua kuwaangukia wa Tz wenzangu Nauza Tecno phantom 8 ina miezi 5, haina itilafu yoyote ile, 650000/= Nipo dsm 0769190996
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Line ya wakala pamoja na kitabu na sticker vyote 120,000 0766639727 karibuni Biashara asubuhi jioni mahesabu
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Bati zinauzwa kwa bei poa kabisa ya shilingi 270,000/ kwa bandari moja. Ukubwa wa bati hizo ni: 1. futi 8. 2. Geji 30. Mwenye kuhitani njoo inbox.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Inauzwa hyo mashine Imetumika mwaka mmoja na kuchange toner 3 jumla imetumia toner 5 hadi sasa...... 1.2m fixed haina tatizo lolote la kiufundi Narudia ni mpyaaaaaaaaa Ukiitaka ni PM fasta 1.2M
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Back
Top Bottom