Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mwenye samsung galaxy j7 prime na anaweza kuuza aje inbox au aweke hapa tufanye Biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Guys! Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nauza line za uwakala za Tigo na Airtel. If you interested call me: 0713813554 Thanks.
0 Reactions
9 Replies
887 Views
Kiwanja kipo dodoma mjini karibu na makazi ya waziri mkuu,kipo barabarani na kina document zote na hati. Price: 22mil contact 0714664361
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili, moja ya chumba kiwe master, choo cha public, jiko seble, paving blocks, alminium window n.k Ofa nnatoa laki mbili mpaka mbili unusu...Nahitaji...
1 Reactions
6 Replies
839 Views
Jipatie mafundi expert Na wabunifu katika kazi ya rangi wana uwezo wa kuiba dilisha nyumba yako kua mpya Na yenye mvuto. Kwa Maelezo zaid piga Au watsap 0757020067.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Greetings wakuu, Ni maeneo gan kwa Dar ambap nawez pat gunia za mahindi kuanzia 500 or zaid.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Rejea somo Natafuta shamba kwa ajli ya kilimo cha mpunga Liwe wilaya ya kakonko,chato au kibondo Liwe karibu na chanzo cha maji cha uwakika maana nataka lima misimu 2 Ekari 100 au zaidi Waweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4gb-55,000/= 2gb-35,000/= Contact 0716683434 Dar es salaam
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Sabufa mpyaa zina Bluetooth radio, aux input, sehem ya flash na memory card. Mdundo wa maana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu nina eneo la ekari 10 liko manispaa ya Dodoma kijiji cha Nzuguni kitongoji cha Machimbo.kiko umbali wa km moja toka barabara kuu ya DODOMA-DAR.barabara ya kufika eneo hili ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Aliye na laptop computer ya model hii iliyokufa na yenye housing iliyo katika hali nzuri na mwenye screen nahitaji. Anipe bei
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau, inahitajika Nissan X-trail, bajeti iliyopo ni Mil 7. Kwa mwenye nayo namkaribisha PM tujadiliane. Colour: Any Condition : Good Registration: D.... Note: Hahitakiwi gari nyingine tofauti...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Updates: Nashukuru nishapata.
1 Reactions
13 Replies
871 Views
Pata unga safi wa kuhogo toka nyasa kwa matumizi ya familia Tunapatikana kigamboni 0673216816
0 Reactions
0 Replies
3K Views
New Good Condition Call 0716 080 994 850,0000.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUKU WA KIENYEJI PURE WAPO SOKONI BEI YA MATETEA NI 15000, YA MAJOGOO NI 19000 . WAPO WA KUANZIA MIEZI 7 PIGA 0718175353 AU 0684452123 TUPO DSM CHANIKA NA TANGA KOROGWE. WA MIKOANI NA VISIWANI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam Wadau wa JF, Poleni na kazi za kutwa nzima! Tafadhali naomba msaada, eti ni sehemu gani hapa Dar naweza kupata hizi begi za Swiss Gear. Nahitaji tatu kwa matumizi binafsi na kwa familia...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Nauza Line za Uwakala Tigo :250,000 Voda :150,000 Airtel : 50,000 Zote zina jina moja tu. documents zake zipo. kama unachukua zote tatu bei ni : 410,000/= Bei nilizoweka hapo ni FIXED...
1 Reactions
6 Replies
930 Views
Back
Top Bottom