Tala tanzania

Tala tanzania

IKB

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
75
Reaction score
29
Kwa mkopo mrahisi wenye riba nafuu zaidi usio na ubabaishaji wa aina yoyote ndani ya dakika tano ,Tala ndo jibu lako

Cha kufanya ingia playstore kisha pakua app ya Tala Tanzania

Baada ya hapo jibu maswali machache ili unufaike na mkopo


Tembelea Google play store udownload apps
Fungua link hii hapa
https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.com.tala
20180512_122018.jpg
 
Mbna ni adi uwe na line ya tigo tu kwa sisi wenye voda na mitandao mingne ina kuaje da
 
Tatizo mnamashart ya vitambulisho vya kupigia kula utafikili wote tunapiga kula vile kwann msiseme na vitambulisho vya utaifa?
 
najua but hujanielewa unakopa elf 30 unarudisha 36000 kwa mwezi afu wanakupa elf 40 yaani ongezeko la elf nne tu
 
Unapewa Kwanza mkopo mdogo ukilipa mapema unaongezewa hadi millioni. Kula wengine walianza na hiyo 20000 kwasasa hapo kwenye laki tatu naa wengine million kasoro
 
Unapewa Kwanza mkopo mdogo ukilipa mapema unaongezewa hadi millioni. Kuna wengine walianza na hiyo 20000 kwasasa wapo kwenye laki tatu naa wengine million kasoro
 
Apana, bos inatakiwa uwai kulipa mapema kupata nafasi yakopa zaidi, yan kwamfano ukikopa 20.000 ukilipa ndani yaweek utaongezewa double au triple ya mkopo wako wa 20.000 yani utakopeshwa 40.000 au 50.000 ndani ya week, ukirejesha daani ya week mbili maramoja utaongezewa 10000...
 
sio kweli mm nakopa hapo tala hakuna hizo double unazosema
 
Back
Top Bottom