Jipatie bati kwa bei nafuu sana.

Jipatie bati kwa bei nafuu sana.

dae mok

Senior Member
Joined
May 6, 2018
Posts
154
Reaction score
783
Bati zinauzwa kwa bei poa kabisa ya shilingi 270,000/ kwa bandari moja.

Ukubwa wa bati hizo ni:
1. futi 8.
2. Geji 30.

Mwenye kuhitani njoo inbox.
 
Mkuu tueleweshe vizuri,bandari inakuaje?,zinakaa ngapi??na ni aina gani??
 
Mkuu tueleweshe vizuri,bandari inakuaje?,zinakaa ngapi??na ni aina gani??
Bandari ni package ambayo inakuwa na jumla ya bati 19.
Aina ya bati nilizonazo ni chapa ya kiboko.
 
Sina size nyingine tofauti. Napatikana kigoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom