Container tupu la futi 40 linahitajika, container liwe katika hali nzuri, full documents na pia liwe LINAPATIKANA NDANI YA JIJI LA MWANZA.
Mawasiliano: 0718 866 651 (call or whatsapp)..
Simu aina ya Sony z2 inauzwa kwa sh 250k (Laki mbili na nusu tu)sifa zake ni
Internal memory Gb 16
Camera mega px 20
Ram GB 3
Betri mAh 3200
Ina 4G
Camera ya mbele Mp 5
Inatumia memory card
Kuhusu...
Habari Wakuu,
Nahitaji ushauri wenu kuweza kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa Ardhi ukubwa wa Hekta 500 kwa ajili ya kilimo cha mihogo. Target hasa ni Mikoa ya Pwani, Tanga, Mtwara, Lindi na...
Je! wewe ni mtumishi wa serikali na unahitaji mkopo kwa ajili ya kutimiza malengo yako?.
karibu PLATINUM CREDIT LTD Tukuhudumie.
Faida na sifa za mikopo yetu.
-Tunatoa mikopo ndani ya masaa...
Wahi offer hii ni ya muda mfupi uweze kupata website yako kwa gharama nafuu kabisa ya sh 200,000/= tuu.
Hapa utapata
Static website
Domain ya mwaka mmoja
Hosting kwa miezi sita
Business Email...
Mashine ya kusaga na kukoboa inauzwa Temeke dar es salaam.
Ina vinu vya kusaga na kukobo viwili chakukoboa roller tatu cha kusaga number 75.
Ina mota 2 horse power 30 kila moja. Inastarter zake 2...
WanaJF
Namtafuta rafiki yangu mmoja nilisoma naye miaka hiyoooo Shaban Robert na tulikuwa tunaishi maeneo ya karibu kule msasani kwa Jina ni Julius Magembe popote alipo aniandikie...
Wakuu Karibuni sana kwa ujenzi bora wa Nyumba katika kampuni ya kizalendo ya AL-BALWAN INVESTMENT COMPANY LIMITED
ni yenye mafundi wenye weledi na walio bobea katika maswala ya ujenzi bora wa...
Jipatie incubators kwa bei nafuu kabisa zimetengenezwa na mtaalamu wa hapa hapa tanzania zipo incubator ninazotumia nishati ya jua yani solar powered(12v) pia zipo za umeme wakawaida yaani 220v...
Habarini wanajamvi,
Naomba kufahamishwa aina za incubator kwa ubora na wingi wa kutotolesha mayai ambazo zinatumia umeme wa jua bei zake na upatikanaji wake.
Natanguliza shukrani zangu za dhati...
My Online shop
Warembo mambo ya chumbani.
Jipatie chupi za kisasa kwa sh. 5000 tu.
Huduma ya delivery pia inapatikana mikoa yote.
Wasiliana nasi kwa 0629992942
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.