Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Container tupu la futi 40 linahitajika, container liwe katika hali nzuri, full documents na pia liwe LINAPATIKANA NDANI YA JIJI LA MWANZA. Mawasiliano: 0718 866 651 (call or whatsapp)..
0 Reactions
2 Replies
769 Views
wakuu kama kichwa cha habari kinanyo jieleza najitaji mtungi mdogo kwa anayeuza
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Simu aina ya Sony z2 inauzwa kwa sh 250k (Laki mbili na nusu tu)sifa zake ni Internal memory Gb 16 Camera mega px 20 Ram GB 3 Betri mAh 3200 Ina 4G Camera ya mbele Mp 5 Inatumia memory card Kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Nahitaji ushauri wenu kuweza kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa Ardhi ukubwa wa Hekta 500 kwa ajili ya kilimo cha mihogo. Target hasa ni Mikoa ya Pwani, Tanga, Mtwara, Lindi na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu Habar Nauza Playstation 2 ikiwa imechipiwa inatumia Flash, Zipo Mbili, Kwa Zote Nauza Laki Mbili Na Nusu. Kwa Maelezo Ni Pm, Napatikana Dar
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye kioo cha tecno W4 aje tuzungumze ila kiwe cheap kidogo maana hali imebana
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Je! wewe ni mtumishi wa serikali na unahitaji mkopo kwa ajili ya kutimiza malengo yako?. karibu PLATINUM CREDIT LTD Tukuhudumie. Faida na sifa za mikopo yetu. -Tunatoa mikopo ndani ya masaa...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Wahi offer hii ni ya muda mfupi uweze kupata website yako kwa gharama nafuu kabisa ya sh 200,000/= tuu. Hapa utapata Static website Domain ya mwaka mmoja Hosting kwa miezi sita Business Email...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Mashine ya kusaga na kukoboa inauzwa Temeke dar es salaam. Ina vinu vya kusaga na kukobo viwili chakukoboa roller tatu cha kusaga number 75. Ina mota 2 horse power 30 kila moja. Inastarter zake 2...
2 Reactions
32 Replies
8K Views
WanaJF Namtafuta rafiki yangu mmoja nilisoma naye miaka hiyoooo Shaban Robert na tulikuwa tunaishi maeneo ya karibu kule msasani kwa Jina ni Julius Magembe popote alipo aniandikie...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu Karibuni sana kwa ujenzi bora wa Nyumba katika kampuni ya kizalendo ya AL-BALWAN INVESTMENT COMPANY LIMITED ni yenye mafundi wenye weledi na walio bobea katika maswala ya ujenzi bora wa...
1 Reactions
81 Replies
14K Views
Gari nzima Sana, Imelipiwa Bima Haina Deni, Full AC,Tairi Bado Mpya,Ina Mziki Wake Orijino,Ina Siti Cover Za Ngozi, Body Imenyooka, Cc1250 injini Safi Km15 kwa lita,Ina vifaa vyote Jeki Spea Tairi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jipatie incubators kwa bei nafuu kabisa zimetengenezwa na mtaalamu wa hapa hapa tanzania zipo incubator ninazotumia nishati ya jua yani solar powered(12v) pia zipo za umeme wakawaida yaani 220v...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi, Naomba kufahamishwa aina za incubator kwa ubora na wingi wa kutotolesha mayai ambazo zinatumia umeme wa jua bei zake na upatikanaji wake. Natanguliza shukrani zangu za dhati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wahi ujipatie logo kwa Tsh. 20,000/= tu. Thaminisha biashara yako kwa kujipatia logo ( nembo) yenye ubora kwa ajili ya biashara yako.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
My Online shop Warembo mambo ya chumbani. Jipatie chupi za kisasa kwa sh. 5000 tu. Huduma ya delivery pia inapatikana mikoa yote. Wasiliana nasi kwa 0629992942
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Nahitaji kujua mahali ninayoweza kupata router kwaajili ya internet cafe.zaidi router kubwa za lini zote
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaji LG smart tv kuanzia inch 42 offer 1500000tsh, Call 0783380123. hata kama used but iwe na good condition
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom