Naweza kupata kiwanja Kigamboni around 2.5 to 3m?

Naweza kupata kiwanja Kigamboni around 2.5 to 3m?

The Giant

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
504
Reaction score
96
Wapendwa salama?

Natamani kujenga na kuishi Kigamboni kwa siku za baadae, nilkuwa nauliza naweza kupata kiwanja Kigamboni kwa around 2.5m to 3m?
Na utaratibu wake ukoje?
Nilisikia kuna viwanja vya Serikali vinauzwa, nao pia utaratibu wake ukoje?

Asante.
 
Wapendwa salama?

Natamani kujenga na kuishi Kigamboni kwa siku za baadae, nilkuwa nauliza naweza kupata kiwanja Kigamboni kwa around 2.5m to 3m?
Na utaratibu wake ukoje?
Nilisikia kuna viwanja vya Serikali vinauzwa, nao pia utaratibu wake ukoje?

Asante.
Kama ni vya serikali nenda sehemu husika mfano ofisi za halmashauri vinginevyo utapokewa na madalali wa viwanja kama sio matepeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nafurahi sana napomsikia kijana akiwa na muamko wa kununua kiwanja na kuwaza ujenzi.

Haya ndo mambo yanayotakiwa masuala kuulizana wapi penye wanawake wazuri.

Big up sana mkuu ngoja wanakuja wanaoijua Kigamboni vizuri wakupe majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na mimi napenda watu kama wewe.

Kiwanja huna lakini hujamkejeli wala kumpa maneno ya dharau na kejeli.

Instead umempa moyo, na kumpa hongera kwa mawazo yake.

Bravo.
 
Huwa nafurahi sana napomsikia kijana akiwa na muamko wa kununua kiwanja na kuwaza ujenzi.

Haya ndo mambo yanayotakiwa masuala kuulizana wapi penye wanawake wazuri.

Big up sana mkuu ngoja wanakuja wanaoijua Kigamboni vizuri wakupe majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja Kaka.
Tunapambana, kwa maisha ya sasa ni rahisi kuzeeka bila na kuwa chochote cha maana kwa watoto au hata wajukuu.
Asante!
 
Kigamboni wapigaji wengi sana,hadi wazee.
kuwa makini sana Mkuu

OK, sawa. Nimeambiwa kuna kampuni nazo zinahusika kuuza viwanja. Sijajua wanapimaje au wanauzaje, ila ntawatafuta
 
Na mimi napenda watu kama wewe.

Kiwanja huna lakini hujamkejeli wala kumpa maneno ya dharau na kejeli.

Instead umempa moyo, na kumpa hongera kwa mawazo yake.

Bravo.
.........Mkuu ktk hili kidogo nimesogea kuliko jamaa.

Hapo juu paragraph ya pili uliponi-quote palikuwa na kosa kidogo nahisi wengi watakuwa wamenielewa vibaya ila nishaparekebisha.
 
.........Mkuu ktk hili kidogo nimesogea kuliko jamaa.

Hapo juu paragraph ya pili uliponi-quote palikuwa na kosa kidogo nahisi wengi watakuwa wamenielewa vibaya ila nishaparekebisha.

Nimeku quote?
 
Wapendwa salama?

Natamani kujenga na kuishi Kigamboni kwa siku za baadae, nilkuwa nauliza naweza kupata kiwanja Kigamboni kwa around 2.5m to 3m?
Na utaratibu wake ukoje?
Nilisikia kuna viwanja vya Serikali vinauzwa, nao pia utaratibu wake ukoje?

Asante.
Uhakika kwenye issue yako cheki na AMANA BANK bila udalali wala tapeli
 
Nimeku quote?
Mkuu umri umesogea nini?nilimaanisha hapa!
Screenshot_20180525-150318.jpeg
 
OK, sawa. Nimeambiwa kuna kampuni nazo zinahusika kuuza viwanja. Sijajua wanapimaje au wanauzaje, ila ntawatafuta
Yapo makampuni mengi tu unapata kiwanja halali kilichopimwa na hati pia,na unalipia kidogo kidogo ndani ya miezi Sita hadi mwaka
 
Je ni kampuni ipi kwa mfano?

Je waweza fafanua kidogo taratibu zao hii bank.
Sio bank ni kampuni binafsi, ingia Google search hizi,Chad creation, Vkp youth investment, black wood consulting, property international, nk wote huwa wanakuwepo pia saba saba maonyesho,
 
Je ni kampuni ipi kwa mfano?

Je waweza fafanua kidogo taratibu zao hii bank.
Pia andika VIWANJA Kigamboni utapata wauzaji binafsi na makampuni mengine pia,mfano Rank man,pia fika halmashauri watakupa muongozo,ila chunga sana lipia baada ya kujiridhisha hasa km ni kwa watu binafsi ,pia awe na dhamana mfano nyumba na kwa maandishi na kupiga Picha na wauzaji ili likitokea dhuruma utapata pa kuanzia,kwa kampuni binafsi ni Salama
 
Back
Top Bottom