The Farmer TZ
Member
- Aug 22, 2014
- 21
- 7
Habari wakuu, nipo Dar Es Salaam nahitaji mbolea YaraMilla...Otesha, Winner &Nitrabor@10Kgs
Kama ipo nipe bei na location..
Kama ipo nipe bei na location..
OK...kwa hiyo wewe huwa unanunulia wapi kwa DSM?Hujui kama mamlaka husika wamekataza kupima kwa kilo ?
Mi mwenyewe nimeshatafuta sana ya kupima
OK!Sijawahi kupata Duka wa nauza yara kwa kwa kupima kila zingine wanapima
Yara wanauza mbolea kwa vipimo tofauti tofauti mfano kilo 5,10,25,50. Zinakuja zikiwa packed hivyo toka kiwandani. Unataka vipimo vya namna gani? Kilo moja au nusu kilo au?Sijawahi kupata Duka wa nauza yara kwa kwa kupima kila zingine wanapima
Nahitaji 10kgs, Yara otesha, Winner & NitraborYara wanauza mbolea kwa vipimo tofauti tofauti mfano kilo 5,10,25,50. Zinakuja zikiwa packed hivyo toka kiwandani. Unataka vipimo vya namna gani? Kilo moja au nusu kilo au?