Picha: Lift ya kwanza yazinduliwa Jijini Mbeya

connections

JF-Expert Member
Apr 27, 2013
1,736
2,297
Lift ya kwanza imezinduliwa jijini mbeya leo tarehe 10. Juni, 2014.

Picha No. 1: Jamaa anapiga Hodiiii kwenye mlango wa LIFT
Picha No. 2: Lift ikizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Wilaya
Picha No. 3: Mkuu wa Wilaya (Mgeni Rasmi) Akikata utepe kuzindua Lift
Picha No. 4: Tangazo la kuwakaribisha wananchi kuja kusuhudia Tukio la uzinduzi wa lift
Source: ISSAMICHUZI BLOG
 

Attachments

  • LIFT1.jpg
    LIFT1.jpg
    39.7 KB · Views: 3,646
  • LIFT2.jpg
    LIFT2.jpg
    32 KB · Views: 3,566
  • LIFT3.jpg
    LIFT3.jpg
    40 KB · Views: 3,185
Kaazi kweli kweli Mbeya bado sana jamani kuitwa Jiji. mbona miji mingine midogo tu ina majengo yenye kutumia lift. Halafu tena huko Mkuu wa Wilaya anaenda kuzindua (kukata utepe) lift kweli? duuh yaani huko Wakuu wa Wilaya hawanaga shughuli za kufanya?
 
Moshi ni mji mzuri zaidi ya Mbeya mara 100...

Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk
 
Tuanzie hapo:
Lift ya kwanza mjini Dodoma ni( Jengo la utawala Udom)
Mjini Morogoro ni
Mjini Mwanza ni( jengo la NSSF)
Mjini Tanga ni
Mjini Iringa ni
Mjini Arusha ni( nadhan Naura Spring)
Mjini Mtwara ni ( Naf beach hotel)
Mjini Singida ni
Mjini Shinyanga ni
Njombe ni
Kibaha ni
Geita ni
Kahama ni
Tunduma ni
Masasi ni
Rukwa ni
Katavi/ Mpanda ni
Korogwe ni
Lindi ni
Musoma ni
Bukoba ni
Zanzibar ni
Pemba ni
Kigoma ni
Makambako ni
Babat ni
Moshi ni

Wadau toeni inputs kama unafaham uwepo wa lift miji niliyoitaja. Kwa sasa Arusha na Mwanza lift ziko nyingi. Dar haimo kwa kuwa ni dhahir lift zko lukuk

LIFT YA KWANZA JIJI LA MWANZA ni katika Jengo la VICTORIA FEDERATION SIKU HIZI LINAITWA JENGO LA NYANZA COPERATIVE NA HIYO ILIKUWA 1957 wakati huo Mwl. anavaa kapula na Paul Bomani anavaa suti na kishatoka maulaya kitambo.
 
Tukisema Mbeya Bado sana mnadai tuna wivu na Mbeya yenu ona sasa. yaani leo ndo lift ya kwanza toka kuumbwa kwa Ulimwengu
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.
 
Inashangaza Kidogo ingwa liftinawkenda na urefu wa majengo yanayoruhusiwa,ninachokijua Mbeya kwa sababu ya uwepo wa tetemeko la ardhihurukusiwi kujenga ghrofa zaidi ya tatu na mahitaji ya nlift huja kuanzia ghorma ya nne.

Mbona hilo lenye lift ya kwanza lina ghorofa saba?
 
Back
Top Bottom