Natumain umzima wa afya mimi ni mgeni humu natumaini nipata ushirikiano na nitajifunza mambo mengi
Kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Hari ya hewa ya Leo ni mvua na kibaridi Kwa mbaaari. Asante
Habari za leo, naomba wenyeji wa JF mnipokee na mnifunze namna ya kutumia huu mtandao, nini nifanye na nini nisifanye.
Mimi ni mwanamke, makazi yangu ni mkoani Mwanza, ni mwajiriwa, napenda kula...
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
Jina langu kamili naitwa IKWETE Nimefurahiswa sana na elimu ninayoipata jf habar, historia mbalimbali na mengineyo meng nimeipenda sana jf.nimekuja humu sitoki ngo nitakua nachangia kila mada...
Habari ndg, jamaa na marafiki, nitakuwa Rayns kwa humu, naombeni mnipokee kama member mwenzenu, nitafurahi mkinielekeza pia namna ya kuishi humu, kuna watu pia na wafahamu kwa taswira ya kufikiria...
Habari wakuu
Leo nimeamua kuingia rasmi JF
Kama ilivyo id yaani__"ZEE LA MICHONGO"
Mainly nitakuwa nahusika na fursa na michongo ya pesa
N,B. Forex, cryptocurrency, ponzi scheme, betting...
Hello guys,
Nimekuwa nikiifuatilia JamiiForums kwa kipindi kirefu, lakini ilikuwa ni kupitia kwa Mitandao yake ya kijamii, but now here i am. New member of this Forum.
Hallo wana JF. Nimejiunga leo na hii forum lakini nimekuwa mfuatiliaji kwa muda.
Naamini mchango wangu utaongeza, japo kidogo kwenye mabadiliko ya fikra na hazina ya ujuzi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.