Hodi hodi naingia

Apr 29, 2009
5
0
Hodi hodi ,naingia ndani
Jina langu, ni siri yangu
Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa
Hodi hodi naingia ndani.

Hodi hodi, naingia ndani
Kaka dada, baba mama
Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009 naingia
Hodi hodi naingia ndani.
 
Karibu mkuu jamvini....naona umeshatinga hadi sebuleni! Tupe mamichango yako mkuu!
 
Hodi hodi ,naingia ndani
Jina langu, ni siri yangu
Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa
Hodi hodi naingia ndani.

Hodi hodi, naingia ndani
Kaka dada, baba mama
Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009 naingia
Hodi hodi naingia ndani.

Karibu hadi ndani mdanganyika2009, Inaoneka hauko vibaya sana kwenye mashairi.

Jisikie uko Nyumbani; The Home of Great Thinkers
 
Karibu sana na akhsante kwa kubisha' mie na wenzangu tunawakilisha' mie nami nalifika kamba taratiibu yanikatika na wiki sasa nakamilisha' bado sijatoswa wala kupandwa presha zaidi ni kila siku nakoshwa' njoo ndugu ukihisi umefikia baridi nenda ile kona pamepashwa' nina hakika huwezi jutia na wala huta nyanyaswa' jitahidi sana kushika yanofundishwa na shika pano paswa' najua nawe ni mtu hasa na katu huwezi kuwa kasha' amani kwako tayari ushanasa
 
Hodi hodi ,naingia ndani
Jina langu, ni siri yangu
Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa
Hodi hodi naingia ndani.

Hodi hodi, naingia ndani
Kaka dada, baba mama
Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009 naingia
Hodi hodi naingia ndani.

Sasa Rafiki shairi hili tunaliimbaje(Misololo mingine ipo tano kwa sita hivi ni vina kwenye Msololo mmoja na mingine nne kwa tisa ) any way karibu lakini usiwe mvivu kama mimi kuchangia ndani ya hili jamvi. Naipenda sana JF lakini muda wangu ni mdogo sana.
Basi ndugu;
Karibu ukaribie, Na kiti uketie
Vizuri tusimulie, Ya nyumbani tuyajue,
Hata hobi tuambie,na silika ifichue
Tujue sisi Tujue, Tujue jua tujue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom