Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nafurahi tena kupata wasaa huu kuwasalimu waJF wote pamoja na kuwashukuru kwa michango yao wakati wa sakata lile la ukombozi pale Peacock Hotel.Kwa sasa hivi niko nchini Uturuki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HIIIIIIIIIIIIIIIII Am new to the blog so am inviting u to join me and share ideas. AM a medical doctor lets share the health as well as political news Tchao
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi! Tupo (tuko) pamoja sasa! Hivi leo ni tarehe 09-09-09 ndo maana usrname yangu ni 'tripo9'. Tarehe km hii zimebaki tatu tu in the history of mankind, yaan 10-10-10(mwakani), 11-11-11...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wana jamvi, kwanza nawasalimu sana, amani na iwe juu yenu. Mimi si mgeni sana hapa jamvini nilikuwepo ila na nilijulikna kama " kitoto", sasa kutokana na sababu zilizo nje kabisa ya uwezo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello everybody, Fighter in,please nipokeeni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MFANYAKAZI(NURSE MIDWIFE ANAYESTAAFU AKIWA NA MSHAHARA ALIOANZIA KAZI) Hivi unaweza kutaja nini kiashirio cha uwepo wa TALGWU katika halmashauri fulani? nikimaanisha uwepo wa chochote kwa kuona au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello great thinkers, I am happy to join you in this forum.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mhhh! atlast sasa nimeingia rasmi after a long scrutiny! Marahaba wadau, nipo laivu kuanzia sasa jamvini! Napenda mambo yote na chukia vyote. Muendelee kuwepo tupate!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
hiiiiiiiii nimekuwepo kwa mda humu but today ndio naingia rasmi so hodi jamani ,i hope nitakuwa usefull humu ndani,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Knock! knock!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
:) Hello....... RubenM here..salaam wote..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninabisha hodi katika 'jumba hili la watafakiri wakubwa'.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Jamani wote, Natumai mnaendeleza libeneke kama kawa,mimi ndio nimejiunga hivyo tegemeeni mengi kutoka kwangu. uncle SR
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimechoka kuangalia humu kimiakimia sasa nabisha hodi kabisaaaaaaaaaaa naomba mnikaribishe! Kama kawaida hiki ni kikaango hakichagui mboga, twende kazi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba kukaribishwa humu jamvini, nimekuwa mshiriki mzuri wa hii forum kwa kusoma tuu na wala sikuweza kuchangia chochote. natumaini nami nitkuwa mmoja wa wachangiaji. be blessed
0 Reactions
1 Replies
1K Views
salamu nyingi ziwafikie popote mlipo
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hi everybody out there! It's great to be amid great thinkers! Been visiting Jf for quite a long time. Being tired of remaining on the sidelines, have now decided to jump into the pitch with both...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wanajamvi wenzangu. well ndo hivyo tena mi ni mgeni humu na minaomba ushirikiano wenu ili tuendeleze gurudumu hili la MAPAMBANO, well you heard me right mi ni mwanamapambano na nimekua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg zangu, heshima kwenu wote... Nilikuwa member kwa muda hapo nyuma, wakati nyumba yetu ikiwa jambo forum, then nikapotea kwa muda kutokana na shughuli za kila siku. leo nimepata muda, naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom