hello wanajamii

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
Jina langu M-mbabe (mtumishi; adui numero uno wa fisadi's; sihitaji udiwani, ubunge wa uraisi). Nafurahi kujumuika na wanajamii kwenye wanja hili. Wanja hili liko juu!
 
Jina langu M-mbabe (mtumishi; adui numero uno wa fisadi's; sihitaji udiwani, ubunge wa uraisi). Nafurahi kujumuika na wanajamii kwenye wanja hili. Wanja hili liko juu!

Karibu sana M-mbambe. Hivi kumbe ulikuwa hujaingia rasmi jamvini?
Ulikuwa unapitwa na vingi sana ila hujachelewa! Karibu, mchango wako ni muhimu sana.
 
Kwaniaba ya VIGOGO WA JAMVI, naomba nikuulize, we ni mdada au mkaka?...Ni muhimu sana!
Lakini vinginevyo karibu sana na tunategemea michango yako ya hali na mali!
 
"VIGOGO WA JAMVI" PakaJimmy na Himawari. Nashukuru kwa ukarimu wenu kunikaribisha humu ndani kwa mikono miwili. Nina-prefer kutojitambulisha "ukaka" au "udada" kwa sasa. Tutaendelea kufahamiana kadri siku ziendavyo mbele
 
Back
Top Bottom