Nimeamua leo kujiunga hapa jukwaani rasmi badala ya kuchungulia tu kama mgeni. Leo nimeamua kuilegeza ile kamba ya kuku mgeni! Nipokeeni tuchangie pamoja kuelimisha jamii yetu. Mimi ndugu yenu...
I intend to take part in constructive discussions that will shape the future of our community and hope to gain from constructive criticism.Otherwise I will be open to ideas through PMs and more...
Hi mates naitwa Silvano kutoka Dar es salaam mnaweza kuniita Chichi. Sio mgeni katika forum hii ila sijapost any comment this is ma first time. Niko kwenye site nyingi sana nategemea kupata...
Mimi si mgeni humu jamvini, ila kwa kuwa nimebadili jina, nimeona bora nijitambulishe upya. Kubadili jina ni moja ya maamuzi mazito nilochukua kuhakikisha najirekebisha....Dis is all 4 today
Your...
Hello JF members, my name is Paradox, I'm new here.
Anyways i can speak Swahili but I'm not very good at writing it so bear with me on that point, almost all my posts will be in English, So...
Nimeamua kujiunga na familia hii ili tuweze kuchangia mawazo katika shughuli hii kubwa ya kuiinua nchi yety na kubadilishana mawazo. Nategemea mtanipokea vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.