Diana-DaboDiff
JF-Expert Member
- Jul 13, 2009
- 376
- 19
Naitwa Diana lakini mtaani kwetu huku Mburuhati wananiita diana-dabodiff, nafurahi kujiunga hapa.
Hili nalo ni neno!Double diff inauhusiano wowote na ile kampuni yetu ya mambo ya kujiexpress? nina maana ya tiGo ? Karibu sana
Double Diff? What a name?
Anyways nyegera waitu!
Double diff inauhusiano wowote na ile kampuni yetu ya mambo ya kujiexpress? nina maana ya tiGo ? Karibu sana
Mamaaa DDD unamakeke wewe mmmh ila naona haujamuelewa Masanilo.Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Mwache triple D ajivinjari humu, atamuelewa baada ya muda si mrefu... kama kweli hajamuelewaHa!ha!ha!ha!ha!.....Double D sina uhakika kama umemwelewa vizuri mtaalam Masanilo.......!
BWT....Karibu sana JF!
Huyu ndie Diana yule nimjuaye? kuleeeeee? kama ni wewe karibu, jamvi limepata makali oh ! na kama si wewe pia karibu, jamvi lahitaji!