Hi everybody,
I would like to introduce myself in this great Forum, hope I will add some constructive comments if not ideas like you guys!!!
Thank you.
Mwasi
oya washikaji wa baraza la jamii mambo vipi? nami nimo ktk baraza naomba mnipe sturi ili tuweze kushirikiana ktk kutoa maoni mbalimbali kwa ajiri ya faida ya nchi yetu naamini sturi nimepata...
Naitwa george william mkazi wa moshi - kilimanjaro nawakaribisheni wote tuweze kuzungumza jaman mimi ni mgen nategemea ushirikiano kutoka kwenu!!!!!!!!!! waweja sana!!!!!!
Hodi hapa, nimekuwa mgeni kwa miaka miwili sasa na leo nimeamua kuingia humu ndani. Nimesoma maandiko mengi sana ya kila idara nami nimeingia kuchangia.
Misimamo yangu ni kama ifuatavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.