Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi everybody, I would like to introduce myself in this great Forum, hope I will add some constructive comments if not ideas like you guys!!! Thank you. Mwasi
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hodi wapendwa! nimekuja peke yangu, niko mimi tu wala sina gharama kubwa, naomba niwe nanyi pamoja humu ndugu sangu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu za leo waungwana!!! Naomba kuuliza............nilikuwa naelekea JF, sijui ndio hapa? na kama wenyeji wangu nimewakuta?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hodi hodi wadau! kuku mgeni mie nina kamba mguuni bila shaka sijachelewa.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hello JF
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wa jamii forum,nami nimeungana nanyi ili tuweze kubadilishana mawazo. Pole na majukumu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
J12
Hi JF members am happy to be part of JF members.mama majungu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
oya washikaji wa baraza la jamii mambo vipi? nami nimo ktk baraza naomba mnipe sturi ili tuweze kushirikiana ktk kutoa maoni mbalimbali kwa ajiri ya faida ya nchi yetu naamini sturi nimepata...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
I've just joined the forum! Looking forward to have fun!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello everyone I'm a new member so tutakuwa pamoja ndani ya jamii forums. Kwa sasa ni hayo tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hodi ulingoni marafiki walio makini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hongeren kwa umoja wenu najua ipo siku nchi itabadilika kwa umoja huu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitwa george william mkazi wa moshi - kilimanjaro nawakaribisheni wote tuweze kuzungumza jaman mimi ni mgen nategemea ushirikiano kutoka kwenu!!!!!!!!!! waweja sana!!!!!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hodi humu ayaaaaaaaaaa nimeingia na viatu anyway ntavua baadaye wana-member wa JF mimi ni mgeni naomba kuwa nayi tuvumiliane
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hodi hapa, nimekuwa mgeni kwa miaka miwili sasa na leo nimeamua kuingia humu ndani. Nimesoma maandiko mengi sana ya kila idara nami nimeingia kuchangia. Misimamo yangu ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wazee shikamooni!!,wadogo zangu hamjambo!!,rika langu vipi mambo zenu!! naombeni mnipokee ndugu yenu ktk familia tuendeleze gurudumu la JF. ASANTENI.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
my name is the oneandonly,lady of course.am new to this site.kwa kifupi nagonga hodi kwenu.......nimekaribishwa nadhani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Napenda kuwasalimu wote,nafurahi kuwa pamoja nanyi ,nawatakia siku njema
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nina furaha kujiunga na wapiganaji wa nchi hii. salaam
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakubwa shikamoo, wadogo hamjambo? Wenzangu mambo vipi?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom