Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Habarini za ujenzi wa Taifa wanajukwaa.
Nimefika mtaalamu wa masoko ya ndani,Na ni mwanasiasa pia
Napenda kuchuku nafasi hii muafaka kabisa kujiunga nanyi katika kuleta MAISHA MABOVU NA DHIKI KWA KILA MZALENDO.
Nina nia,nguvu na kusudi ya kuwa mtoa na mchangia hoja mzuri ktk JF.
Ningependa pia kumpongeza na kutaka kumfuhamu japo kidogo Zuckerberg (mode) wa Jf,ni nani?
Ahsanteni kwa kunisoma .
Na mungu awachukue nyote.
HOODI!!
Nimefika mtaalamu wa masoko ya ndani,Na ni mwanasiasa pia
Napenda kuchuku nafasi hii muafaka kabisa kujiunga nanyi katika kuleta MAISHA MABOVU NA DHIKI KWA KILA MZALENDO.
Nina nia,nguvu na kusudi ya kuwa mtoa na mchangia hoja mzuri ktk JF.
Ningependa pia kumpongeza na kutaka kumfuhamu japo kidogo Zuckerberg (mode) wa Jf,ni nani?
Ahsanteni kwa kunisoma .
Na mungu awachukue nyote.
HOODI!!