Naomba kiwanja

josiah2008

Member
May 22, 2010
51
23
Ndugu zangu habari za hapa nyumbani kwenu. Naomba japo kiwanja kidogo hata kama hakijapimwa ili nijenge kibanda nami niishi hapa.
 
Nawashukuru wana JF wote kwa ukarimu wenu. Nimeshapata makazi yangu japo pembezoni sana.Pamoja na yote lakini maisha yanaendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom