Hi guys,
I have just registered for the first time though I was reading all your posts, discussions and the like. I expect a warm welcome from you!
With regards,
Bright.
Nipokeeni kijana wenu ndani ya JF. Hope that we'll share a lot of things ili mwisho wa siku tupate 'madini' ya ukweli kwa mustakabali wa jamii yetu... More to say..! I love u all.
Habari zenu wana jamii,,,
Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza ku post maoni yangu laikini ngoja niseme tu nione wadau mnalionaje hili.
Wana CCM mtanisamehe though.
Kuna haka kamtindo kameanza...
Hamjambo watu wazuri,
Jina langu ni Bibi Amy na nataka kujufunza na kuzoea juu ya Kiswahili. Nimekuwa nilisome tangu miaka mitatu juu au chini na, tafadhali, semahani kwa makosa mwengu. Asante...
Nimekuwa msomaji hapa for a long time without registration.sasa nimeamua tu kujisajili.Kuna members humu nawafahamu pomoja na kujificha kwao
Tukutane stejini
Jamani wanajamii hodiii....
Nimefuatilia kwa muda mrefu habari na mijadala mbalimbali katika mtandao huu na kunufaika kwa kiasi kikubwa sana. Sasa nimejiunga rasmi.
Hodi tena wanajamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.