Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi Mgeni humu, naomba kupokelewa. Nina asili ya uandishi, utafiti na uanasiasa. Nitakuwa nanyi katika mambo yote yanayohusiana na haya. Ahsanteni.
5 Reactions
7 Replies
812 Views
Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
3 Reactions
10 Replies
634 Views
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani...
2 Reactions
9 Replies
763 Views
Am new member
1 Reactions
13 Replies
656 Views
Hatimae nami nimefika humu ndani mpo jamani nimetokea Facebook, napatikana mlandizi Kijiji Cha Masangu kata ya magagura Mkoa Ruvuma
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Habari wadau kwa majina kamili naitwa Hussein Mohamedi Bendera natumia Nyanda Banka kama nickname
2 Reactions
5 Replies
643 Views
Hakuna jipya
0 Reactions
6 Replies
506 Views
Habari za wakati huu? Ninatumai wewe unaesoma ujumbe huu ni mzm wa afya ila kama una changamoto ya kiafya pole sana Mwenyezi Mungu akupe wepesi, mie ni mgeni humu na ni Mwanasheria...
1 Reactions
5 Replies
757 Views
Habari zenu wakuu mimi ni fundi friji, nafurahi kujiunga nanyi. Natumaini kujifunza mengi.
1 Reactions
4 Replies
520 Views
Habari za muda huu wana JF. Hongeren kwa majukumu na Mungu awabariki sana.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu naitwa anania monge nimerudi naomba mnipokee
3 Reactions
15 Replies
853 Views
hi,chief wa wanyamwez ni member mpya humu ndani
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hi
Mgeni hapa
1 Reactions
7 Replies
665 Views
Hello wana Jamii. Nimekuwa nikisoma majadiriano mengi ya wana Jamii forums kwa mda wa miaka mitano sasa. Ila karibuni ndiyo nimeamua kujiunga rasmi nami niwe mmoja wapo wa wachangiaji na kuweza...
3 Reactions
6 Replies
615 Views
Wakuu habari za humu, naomba mnikaribishe humu JF tuendelee lisukuma jurudumu
2 Reactions
8 Replies
628 Views
Ni sawa tu. Najitambulisha
2 Reactions
13 Replies
734 Views
Naitwa Comrade Ally Maftah 1. Ni rafiki wa wote 2. Mwanasiasa wa Jiji la Mzizima Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam 3...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Hi
Habari wana jf, me mgeni humu jamvini, naomba ukaribisho wenu
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Habar JF members, mimi ni mgeni wenu mpyaa naomba mnipokee, nipo Morogoro
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa hili kama muandishi wa masuala tofauti tofauti ya kijamii!!
2 Reactions
6 Replies
530 Views
Back
Top Bottom