Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi mgeni Naomba ushirikiano wenu Asante!!
2 Reactions
19 Replies
844 Views
Hope tutabadilishana mawazo lengo ni kujifunza nawapenda wote.
0 Reactions
15 Replies
625 Views
Napenda kumchukua fursa hii kujitambukisha kwenu Wanajamii kwamba nami nimejiunga katika jukwaa hili kubwa la maarifa, elimu na kifikra.
4 Reactions
15 Replies
786 Views
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya. Kipekee hii ni mara yangu ya kwanza kufungua account katika mtandao huu wa jamii forum. Wakuu naombeni ushirikiano wenu kwa kipindi chote takapo...
1 Reactions
4 Replies
584 Views
Ndugu zangu. Ninayo furaha kujiunga rasmi kwenye hili jukwaa langu pendwa. Nitashukuru kwa kupokelewa humu ndani.
2 Reactions
9 Replies
504 Views
Wakuu mm mgeni kwene huu mtandao Ndo nimejiunga leo jF ushauri
9 Reactions
149 Replies
5K Views
Ndugu zangu nawaomba mnikaribishe mgeni katika jukwaa. Nmekuwa mwanajumuia kwa kuchungulia tu lakini sasa nimevutiwa kuwa mwanachama hai. Asanteni sana.
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
6 Reactions
66 Replies
2K Views
Ni mda mrefu nimmejiunga but hii ndo my first post, I hope ntaongeza chochote ,kwenye vichwa vyenu, na maisha kwa ujumla, . Na me pia nitaongeza ila nshaongeza Sana ni muda wenu was kuongeza...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Member wenzangu, Naitwa Jesca mm ni mgeni nimefurahi kujiunga JF.
4 Reactions
17 Replies
750 Views
Kwa muda mrefu sana nimetamani kuwa member katika jukwaa hili. Nashukuru leo nimefanikiwa.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam wakuu natumaini humu nyote ni wazima wa afya. Kwa sasa jina langu nililokuwa nalitumia mwanzo la Mohamedex121 nimeamua kulichange na sasa mnaweza kunipata katika threads kama Mohamed...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana jf naomben mnipokee katika ukurasa huu pendwa wa jamii forum mnielekeze ndugu yenu yale nayostahili kuelekezwa ili tuweze kushirikiana vizur katika mambo yetu ya jamii
2 Reactions
7 Replies
687 Views
Nimekuja humu ndani kwani ni sehemu salama ya kujipatia maarifa na ushauri kuweza kuelewa uelekeo wa dunia kwa ujumla. Kutoka Arusha
4 Reactions
8 Replies
595 Views
Hodi hodi uwanjani, Wenyeji nifungulieni, Clamyidia mi mgeni, Wenyeji nipokeeni. Ninagonga mlangoni, Majirani tusiwaamsheni, Clamyidia nifungulieni, Wenyeji nipokeeni. Naskia JF sio gengeni...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Naitwa termux from (Tanganyika) Darusalaam Tupambane kwa ajili ya Tanzania bora na ya wazalendo. •Nina furaha kujiunga na JF Tanganyika kwanza (Tamaduni zetu na maadili yetu ) #Dini zilikuja...
2 Reactions
5 Replies
939 Views
Habari mi naitwa happy ni mgen Jf kuanza nitakuwa nanyi
6 Reactions
60 Replies
3K Views
Habar zenyuuu nyote!
1 Reactions
15 Replies
684 Views
Baada ya kupotea kwa muda nimerud tena. Haya nianzie wapi?
1 Reactions
10 Replies
759 Views
Back
Top Bottom