Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
  • Closed
  • Sticky
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo: 1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote. 2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
24 Reactions
2 Replies
23K Views
Hodi humu! Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu. ..... Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa: * Mnaotaka kunifahamu...
40 Reactions
881 Replies
74K Views
Hello friends, My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old. I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay. Thanks. -------------- Karibu sana JF mkuu Anna Maria...
24 Reactions
524 Replies
54K Views
Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
35 Reactions
760 Replies
39K Views
Natumai nyote mu buheri wa afya njema. Ni mgeni katika safu hii, nahitaji ushirikiano wenu.
0 Reactions
2 Replies
24K Views
Hello jamn Mimi mgeni humu ndani, nataka kujua wageni tunakaa wapi
1 Reactions
2 Replies
22K Views
Hodi wana janvi. Natanguliza heshima kwenu
0 Reactions
8 Replies
20K Views
Hellow wana JamiiForums, mie ni mgeni tuu. Naombeni ushirikiano wenu na mapokez mazuri. Nawapenda
18 Reactions
268 Replies
18K Views
  • Closed
Naona kuna memba mpya mwenye majina ya W. J. Malecela. Natabiri atakuwa William John Malecela, kama ni yeye napenda kumkaribisha jamvini. Tunatarajia mengi toka kwako mkuu
0 Reactions
83 Replies
16K Views
Habari wana jf! Siku izi zama zimebadilika sana, hadi kina bibi tunajua na bdo tunaendelea kujifunza ktumia mitandao.. Mim n bibi wa mwendokasi, Naomba mnipokee kwa mikono mi2. Povu...
12 Reactions
534 Replies
16K Views
Me mgeni,nipokeeni.
5 Reactions
149 Replies
16K Views
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo, Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi...
34 Reactions
111 Replies
15K Views
Hi there, I have just joined the Jamii Forum
1 Reactions
280 Replies
15K Views
Wana jukwaa hamjambo ? Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
3 Reactions
332 Replies
14K Views
Mimi ni mgeni humu na nimekuwa nikipendezwa sana na mada nnazozisoma humu kabla sijajiunga. Hivo na mimi nimeamua kujiunga humu coz ni sehemu ambayo naweza kupata ushauri wenye maana...
0 Reactions
96 Replies
13K Views
Najua wote mko poa wakuu, Naomba mnieleweshe utofauti kati kuitwa Malaya na kuitwa kahaba! Nawasilisha!
2 Reactions
18 Replies
13K Views
I'm so happy to join you member of this land of the clever! Hope to learn a lot from you guys!
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Za leo wakubwa kwa wadogo mimi lydia james leo nimejiunga na mtandao huu kwa lengo la kukuza ufahamu katika mambo mbalimbali naomba mnipokee kama mgeni wenu tushirikiane
8 Reactions
139 Replies
11K Views
Wiki mbili magazeti yaliandika dawa ya ukimwi imepatikana .katika blog mbalimbali zilikanusha na mpaka sasa cjackia tena na kulikuwa na ubishani mkubwa mtaani je ni kweli dawa hiyo imegundulika...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Hi
hellow
2 Reactions
188 Replies
11K Views
Back
Top Bottom