Sounds like Sauti za umeme........
.....anyway karibu tena aisee
Karibu sana jamvini. Ujio wako naomba usipelekee kumpoteza yule mwana JF
Maarufu kwa jina la 'efuemiesi'.
.
Kwa hayo machache, naomba nimalize kwa kusema haba na haba hujaza kibaba, maendeleo ya taifa huletwa na mawazo ya kimaendeleo ya wananchi wa taifa lile bila ya kujali ukubwa au udogo wao kitaifa na huanzia popote pale hata hapa kwenye hii forums.
Ahsanteni sana ndugu zangu.
Wenu
William J. Malecela.
Jazba nafikiri keshaziondoa wakuu.....na ile ya kutaja taja majina na kujifanya kujua member itakwisha......otherwise tupo pamoja 2010.....msituletee tshit za jinja nataka tetron bana....Ukiondoa jazba, haba na haba ndio itajaza kibaba!
ni kampeni au?
Kwa heshima na taadhima pamoja na unyenyekevu mkubwa, ninaomba kujiunga na forum hii na wananchi wote ndani ya huu uwanja. Mimi ni Mtanzania mwenzenu na ni mwananchi mzalendo pia, ninaomba kuja hapa tushirikiane kuliendeleza taifa letu kwa kutoa maoni na michango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu changa.
- Jina langu ninaitwa William J. Malecela, anwani yangu pepe ni malecela@msn.com na namba yangu ya simu nyumbani ni 1-914-664-1518, na pia namba yangu ya mkononi ni 1-914-473-1033, ninamkaribisha mwananchi yoyote kuwasiliana na mimi wakati wowote ule.
Kwa hayo machache, naomba nimalize kwa kusema haba na haba hujaza kibaba, maendeleo ya taifa huletwa na mawazo ya kimaendeleo ya wananchi wa taifa lile bila ya kujali ukubwa au udogo wao kitaifa na huanzia popote pale hata hapa kwenye hii forums.
Ahsanteni sana ndugu zangu.
Wenu
William J. Malecela.
Bwana Malecela,
Uliyoyasema yote kimsingi ndiyo msingi wa JamiiForums.Tunaamini katika uwazi. Sielewi kwa nini unatoa personal information. Kama mwanachama mpya, hujatueleza kwa nini sisi wanachama wa siku nyingi tukutafute wewe. Kwa nini wewe unataka majadiliano zaidi katika personal contacts? Kuna ajenda gani ambayo haiwezi kuongelewa hapa kwenye forums hata ihitaji personal contacts?
Je kuna kitu maalum unataka kujadili? Au kuna mpango unatayarisha? Ingekuwa vizuri ukatupa sababu ya kueleweka inayosababisha utake personal contact.
Forums zetu zinatoa umuhimu mkubwa kwa anonimity, na kutokana na majadiliano yanavyokwenda watu wana haki ya kuwa concerned kuhusu usalama wao.Kwa nini watu wasiamini kwamba wewe ni agent wa CCM unayetaka kuchukua namba za simu na majina ya watu?
- Hapa nipo pamoja na Mwenyekiti wa CCM na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa J. K. Kikwete.
Mkuu Kiranga
Heshima mbele, hapa JF tunaamini watu kuwa na mawazo huru ili mradi hawavunji taratibu zilizowekwa hapa jamvini. Wapo wanachama kadhaa ambao wanatumia majina yao halisi na wala sina haja ya kuwataja. tafadhali tujifunze kuheshimu utashi na hiyari za wanachama wenzetu.
Itavutia zaidi huko mbele ya safari kama kila mmoja wetu atakuwa muwazi kama alivyo mwanachama mpya William J. Malecela na wale wengine ambao wanatumia majina yao halisi kwani wanaonesha kuwa wao si waoga. ninamsifu William kwa kwenda mbali zaidi kwa kuweka na kontakti zake zote na picha juu kuondoa shaka zaidi kwamba yupo tayari sasa kufikiwa na mtu yeyote. Ikiwa unaona unahitaji kujificha tafuta kadi umpigie au nenda Penny Talk or CallTanzania.com.
Hongera na karibu mwanachama mpya Bw. William J Malecela.