Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wadau, Hii nimeishuhudia sana Arusha hasa sehemu za Tengeru kwenda mbele. Utakuta mama kaualamba vizuri kweli mfano gauni zuri, au dila, su sketi ndefu nzuri au suruali pana ya heshima. Utakuta...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika miongo kadhaa iliyopita, uvaaji wa wigi umekuwa fasheni katika sekta ya urembo na hutumika hususan na wanawake. Ingawa uvaaji wa wigi huwafanya wanawake hao kuonekana mithili ya mtu...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari waungwana, ni sehemu gani kwa hapa dar naweza pata jeans na shati og kutoka USA au sehemu nyingine ambazo sio za kichina? Nataka jinsi kama anayo vaa vandame ( pure og).. sio hizo za akina...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Tujionee viatu vya majira ya kiangazi kwa wanaume na wanawake. casual wear
4 Reactions
33 Replies
9K Views
Warembo wengi huwa tunajitahidi kuvaa nguo zitakazotukaa vizuri kulingana na maumbo yetu lakini viatu tunavaa tu vyovyote tunavyoona vizuri. Hii si sahihi! Kama mjuavyo, muonekano mzuri wa mavazi...
5 Reactions
47 Replies
17K Views
Sio lazima kila wakati watoto wetu tuwasuke vidole vya maputo au kuwavisha vikofia vilivyosukwa kwa uzi. Mtoto pia anaweza kusukwa rasta simple kabisaa na akapendeza vizuri. Kina mama hata kina...
3 Reactions
56 Replies
36K Views
Mambo ya ubunifu hayo sasa sijui utanunua sahani kwa ajili ya chakula nyumbani au kwa tupambe ukuta? Au ungo kwa mimi ningetumia vile viungo vidogo vidogo tena siku hizi unaweza kuzipaka rangi...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
kama mada inavyosema uso wangu unamafuta mengi hivyo naomba mafuta gani mazuri kwa kupaka asante
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Wapendwa ni lotion gani au creem inayofaa kwa mwanaume ambayo haichubui kurudisha ngozi yake ya asili iliyoathirika na jua muda mrefu.
1 Reactions
30 Replies
28K Views
Unapochagua mascara kuna mambo muhimu ya kuzingatia kulingana na lengo lako unalotaka kutimiza. Unatakiwa kujua unataka kope zionekane ndefu( lengthenning), zionekane zimejaa/nene (thickenning)...
10 Reactions
199 Replies
15K Views
Jamani kuna mdogo wangu kafeli matokeo ya form IV sasa nafikiria kumpeleka katika fani za kujiajiri na nimewaza hairdressing na mambo kama hayo ya urembo. Je , kwa hapa Mwanza ni sehemu gani...
1 Reactions
6 Replies
16K Views
  • Redirect
Wadau nimekaa na (tatoo) yapata miaka 20 sasa, nilichorwa na kaka yangu aliyekuwa akiishi THAILAND, nimekuja kuona haina faida yoyote kwangu, kibaya zaidi ni ile ya kuweka wino kwenye sindano na...
0 Reactions
Replies
Views
Haya...kwa wale wapenzi wa sneaks hebu fungukeni. Ni kicks gani mnazozipenda? Cheki kitu cha Giuseppe Zanotti hicho....kimetengenezwa na ngozi ya chatu! Ukienda Neiman Marcus kinapatikana...
8 Reactions
114 Replies
21K Views
hapo vepe? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baadhi ya watu wamekuwa wanachukulia kirahisi ulaji wa matunda, lakini unapaswa kujua kwamba matunda ni muhimu kwa afya zetu kwani yanatukinga na magonjwa mbali mbali na pia hutengeneza muonekano...
4 Reactions
11 Replies
13K Views
Et jaman haya mafuta napaka wakat gan imean wakat wa kuosha au napakaa kama mafuta ya kawaida ya nywele nmeambiwa yanasaidia nywele Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wapendwa habari za weekend,naomba msaada wa kiushauri....nina sumbuliwa Sanaa na rushes (vichunusu,vipele) usoni hivyo kupelekea kupaka mafuta ya nazi tu,mm sio mpenzi wa tube(cream) za kutoa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Hellow wapendwa naombeni mnisaidie ntapataje saloon au vyuo vinavyotoa mafunzo ya urembo,kama kusuka,make up kwa mwanza au ata sehemu nyingine tu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wapendwa, Natamani sana kujua jinsi ya kupaka makeup the basics tu, kila nikiangalia you tube videos za simple makeup naona makorokoro mengi mara foundation, primer, eye cream, lip liner...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom