Wadau,
Hii nimeishuhudia sana Arusha hasa sehemu za Tengeru kwenda mbele. Utakuta mama kaualamba vizuri kweli mfano gauni zuri, au dila, su sketi ndefu nzuri au suruali pana ya heshima.
Utakuta...
Katika miongo kadhaa iliyopita, uvaaji wa wigi umekuwa fasheni katika sekta ya urembo na hutumika hususan na wanawake. Ingawa uvaaji wa wigi huwafanya wanawake hao kuonekana mithili ya mtu...
Habari waungwana, ni sehemu gani kwa hapa dar naweza pata jeans na shati og kutoka USA au sehemu nyingine ambazo sio za kichina?
Nataka jinsi kama anayo vaa vandame ( pure og).. sio hizo za akina...
Warembo wengi huwa tunajitahidi kuvaa nguo zitakazotukaa vizuri kulingana na maumbo yetu lakini viatu tunavaa tu vyovyote tunavyoona vizuri. Hii si sahihi!
Kama mjuavyo, muonekano mzuri wa mavazi...
Sio lazima kila wakati watoto wetu tuwasuke vidole vya maputo au kuwavisha vikofia vilivyosukwa kwa uzi. Mtoto pia anaweza kusukwa rasta simple kabisaa na akapendeza vizuri. Kina mama hata kina...
Mambo ya ubunifu hayo sasa sijui utanunua sahani kwa ajili ya chakula nyumbani au kwa tupambe ukuta? Au ungo kwa mimi ningetumia vile viungo vidogo vidogo tena siku hizi unaweza kuzipaka rangi...
Unapochagua mascara kuna mambo muhimu ya kuzingatia kulingana na lengo lako unalotaka kutimiza. Unatakiwa kujua unataka kope zionekane ndefu( lengthenning), zionekane zimejaa/nene (thickenning)...
Jamani kuna mdogo wangu kafeli matokeo ya form IV sasa nafikiria kumpeleka katika fani za kujiajiri na nimewaza hairdressing na mambo kama hayo ya urembo.
Je , kwa hapa Mwanza ni sehemu gani...
Wadau nimekaa na (tatoo) yapata miaka 20 sasa, nilichorwa na kaka yangu aliyekuwa akiishi THAILAND, nimekuja kuona haina faida yoyote kwangu, kibaya zaidi ni ile ya kuweka wino kwenye sindano na...
Haya...kwa wale wapenzi wa sneaks hebu fungukeni.
Ni kicks gani mnazozipenda?
Cheki kitu cha Giuseppe Zanotti hicho....kimetengenezwa na ngozi ya chatu!
Ukienda Neiman Marcus kinapatikana...
Baadhi ya watu wamekuwa wanachukulia kirahisi ulaji wa matunda, lakini unapaswa kujua kwamba matunda ni muhimu kwa afya zetu kwani yanatukinga na magonjwa mbali mbali na pia hutengeneza muonekano...
Et jaman haya mafuta napaka wakat gan imean wakat wa kuosha au napakaa kama mafuta ya kawaida ya nywele nmeambiwa yanasaidia nywele
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwa habari za weekend,naomba msaada wa kiushauri....nina sumbuliwa Sanaa na rushes (vichunusu,vipele) usoni hivyo kupelekea kupaka mafuta ya nazi tu,mm sio mpenzi wa tube(cream) za kutoa...
Hellow wapendwa naombeni mnisaidie ntapataje saloon au vyuo vinavyotoa mafunzo ya urembo,kama kusuka,make up kwa mwanza au ata sehemu nyingine tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wapendwa,
Natamani sana kujua jinsi ya kupaka makeup the basics tu, kila nikiangalia you tube videos za simple makeup naona makorokoro mengi mara foundation, primer, eye cream, lip liner...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.