Naomba msaada

Maki J

Senior Member
Mar 22, 2017
154
162
Wapendwa habari za weekend,naomba msaada wa kiushauri....nina sumbuliwa Sanaa na rushes (vichunusu,vipele) usoni hivyo kupelekea kupaka mafuta ya nazi tu,mm sio mpenzi wa tube(cream) za kutoa rushes au sabuni....mafuta ya nazi yamenisadia japo kidogo. Sasa nikaona haya mafuta (ni ya kukamulia ng'ombe maziwa) nikawaza nikiyatumia usoni yatanisaidia na kuwa na ngozi soft kwani wamasai kama sijakosea ndo huwa wanatumia mafuta haya na kufanya kuwa na ngozi nyororo na
IMG_20170805_210631.jpg
yakuteleza.....naomba mwenye kujua haya mafuta anijuze na mm. Asanteni wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unasumbuliwa na chunusi means ngozi yako ya uso ina mafuta sana sasa unavyopaka mafuta mengine huoni kama unajiongezea?? ulitakiwa usoni usiwe unapaka mafuta yoyote na uanze kutumia vipodozi vya asili kama manjano tango au mvuke...... wajuzi wataeleza vizuri lakini.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
kama unasumbuliwa na chunusi means ngozi yako ya uso ina mafuta sana sasa unavyopaka mafuta mengine huoni kama unajiongezea?? ulitakiwa usoni usiwe unapaka mafuta yoyote na uanze kutumia vipodozi vya asili kama manjano tango au mvuke...... wajuzi wataeleza vizuri lakini.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Nilijaribu manjano lakini haikusaidia kitu....labda unielekeze ya mvuke coz ni kweli uso wangu unamafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo weka mbali na uso wako!tafuta products za garnier!za kuoshea uso...hasa yenye kiambata cha salyclic acid!hutajuta!..hazichhubui!siku 3 huna vyunusi!....au maji ya kuoshea uso yenye salyclic....
 
hayo weka mbali na uso wako!tafuta products za garnier!za kuoshea uso...hasa yenye kiambata cha salyclic acid!hutajuta!..hazichhubui!siku 3 huna vyunusi!....au maji ya kuoshea uso yenye salyclic....
d6a9c579fc09247082048bbc37887384.jpg



Like that???

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Tuma picha nione uso hizo chunusi zipo kwa kiasi gani then ni recommend dawa nzuri kwako..
 
Chemsha maji then yaipue,jifunike na Nguo nzito like blanket then liinamie hilo sufuria mpaka u sweat. Ukimaliza then jifute kwa kitambaa safi na Salama. That's all I know about home steaming.
thank u so much kwa msaada maana nilikua nawaza jinsi ya kutype hayo yote...lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom