Wakuu nimekuwa miongoni mwa mhanga wa matumizi mabaya ya unyunyu ni zaidi ya addicted kama mtu anaetumia mihadarati Ngumu mm kuacha kabisa cost me pesa nyingi kununua Kila kukicha hata kama...
Ni mara kadhaa nakutana na nguo ikiwa na kidude chenye lebo au maandishi ya kumtaka mtumia nguo kukikata au kukiondoa kabla hajafua au kuivaa nguo hiyo.
Nauliza je kama pana mtu ameshakutana na...
Binafsi nakerwa sana na Wanawake wenye tabia ya kuvaa wigs kichwani au kushonea nywele za bandia. Hii ni tabia ambayo kwakweli mimi huwa siipendi kabisa na huwa namwona Mwanamke wa namna hiyo kuwa...
Akikaa kwenye siti anatumia siti moja na nusu, abiria mwenza anabaki na nusu siti tu.
Kama amesimama kwenye daladala anakubana na tumbo lake wewe abiria uliyekaa.
Hawa watu kwakweli wanatia hasira.
Tz hii sidhani kama kuna mkoa unaongoza kwa watu kujichubua kama Mbeya. Ukikuta mwanamke aliyejichubua kikweli anatisha. Sura inakuwa kama kokaragosi au kashetani hivi.
Lakini si wakulaumu...
Watu hawaendi kutembea kwa sababu ya Corona , ni kula tu kisha kutulia ndani, sasa unapodai nguo za Sikukuu ili iweje ? unataka uwende ukatemee wapi ? Wake zetu muda mwingine wanawaza wnayojua wao.
Kinyaa ni hisia mbaya apatayo mtu anapoona uchafu, mtu asie na kinyaa ni mtu wa hovyo sana.
Kuona kinyaa yaweza enda mbali zaidi,
Mtu anaeweza kufanya mchezo wowote katika tupu ya nyuma kwa...
Heri ya sikukuu ya sabasaba.
Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia...
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.
Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi...
Habari wapendwa
Mimi ni beginner naanza kutunza nywele asili ninazo ndefundefu fulani hivi, ila nimegundua nywele zangu ni kavu kupindukia.
Naombeni ushauri nitumie hair cream gani kwa ajili ya...
Nina shida na kununua kadeti ila naona nyingi zilizojaa dukani ukivaa baada ya muda zinapauka balaa.
Nataka kujua aina ya kadeti nzuri na zisizopauka na sehemu yake zinapouzwa na bei yake.
Nipo Dar
Habari za jumapili wana JF.
Katika masuala ya mavazi kuna mambo Mengi sana. Unakuta watu wamelingana kimo kila kitu hadi rangi na hata hadhi ktk jamii. Lakini wanapovaa kuna mmoja anasifiwa sana...
Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA...
Nadhani boys/men wenzangu mtakua shahidi kwa haya mambo juu ya hawa wasicha.
>> Unakuta msicha kajipamba kapambika/ Kajiremba karembeka boy unamtokea unavuta mzigo getoni, baada ya kutaka kuanza...
Habari zenu wadau.
Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya...
Waswahili wanasema tembea uone. Aijalishi utaona magorofa au nini wee tembea tu utachokiona ndo iko iko ulitakiwa ukione 😉
Miii katika tembea yangu nimekutana na kitu cha kustajabisha.
Nikiwa...
Hao unaotaka kuwa impress watakuonakichaa
Hapa ni kujitafutia matatizo
Hata uwe na flat tummy hapa ni NO
Hata iwe a night party, skirt iwe knee length
M hand bag mkubwa ni wa nini?
Habari 🖐 🖐 🖐
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani...
Mtu ukimwambia uwezo wetu wa kuigiza movie bado ni mdogo atakubishia mpaka kunakucha.
Kuna movie nyingi za kibongo bado hazikizi viwango, unakuta mtu ana act ni maskini lakini ukimwangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.