Joyboy
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 1,361
- 3,404
Habari 🖐 🖐 🖐
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)
Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.
Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)
Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.
Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)
Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.
Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)
Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.
Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.