The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Mtu ukimwambia uwezo wetu wa kuigiza movie bado ni mdogo atakubishia mpaka kunakucha.
Kuna movie nyingi za kibongo bado hazikizi viwango, unakuta mtu ana act ni maskini lakini ukimwangalia amevaa kitajiri, nywele kaweka wave, shati jipya lakini limechanwa tu hata suluari.
Kiukweli wabongo kuact bado toka amekufa Kanumba hakuna movie yeyote iliyobamba kwani aliweza kuigiza kiuhalisia.
Kuna movie nyingi za kibongo bado hazikizi viwango, unakuta mtu ana act ni maskini lakini ukimwangalia amevaa kitajiri, nywele kaweka wave, shati jipya lakini limechanwa tu hata suluari.
Kiukweli wabongo kuact bado toka amekufa Kanumba hakuna movie yeyote iliyobamba kwani aliweza kuigiza kiuhalisia.