Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
Habari,
Jamani nawakumbusha wanaume kuoga mvua isiwe kikwazo cha nyie kutokuoga, ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfume zilizochanganyika na kutokuoga.
Yes i know wengi mta-take advantage ya kuoga jana but please ogeni ndo mje maofisini.
Sitaki ubishi coz im sure 60% hamjaoga leo. Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo Jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana.
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Jamani nawakumbusha wanaume kuoga mvua isiwe kikwazo cha nyie kutokuoga, ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfume zilizochanganyika na kutokuoga.
Yes i know wengi mta-take advantage ya kuoga jana but please ogeni ndo mje maofisini.
Sitaki ubishi coz im sure 60% hamjaoga leo. Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo Jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana.
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather