boris maganga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 382
- 374
Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.
Sasa hivi nina kg70 kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskeli.
Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
Sasa hivi nina kg70 kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskeli.
Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!