kimsboy JF-Expert Member Oct 17, 2016 9,008 17,920 Sep 11, 2018 #1 Kama kuna mtu amewahi kutumia hizi bidhaa tafadhali Jee ni kweli zinafanya kazi mwilini? Jee zinang'arisha ngozi? Kuna mtu amewahi kutumia?
Kama kuna mtu amewahi kutumia hizi bidhaa tafadhali Jee ni kweli zinafanya kazi mwilini? Jee zinang'arisha ngozi? Kuna mtu amewahi kutumia?
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 12,956 22,656 Sep 11, 2018 #2 tumia baby care mkuu acha mbwembwe bidhaa zao ni uongo tu hamna kitu
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,681 112,900 Sep 14, 2018 #5 Grace product zipo nyingi, unaulizia ipi exactly, natumia shampoo ya Grace naona ni nzuri